Ndio nakutunza wewe na mkeo wote. Nitawaoa wote kwa mali nyingi kama alivyofanya Aziz Ki. 😀😀😀Pesa natafuta mkuu,kwani familia yangu unaitunza wewe
Anza kumuoa mama yako kwanza stupidNdio nakutunza wewe na mkeo wote. Nitawaoa wote kwa mali nyingi kama alivyofanya Aziz Ki. 😀😀😀
Ndiyo anazo pesa! Sasa kama hao wa unga wa mandazi ndiyo huwa uwezo wao, hata mkibwagana sahizi haikupi shidaWewe si umesema huenda dada au shangazi zetu ,posa ikawa kilo moja ya unga wa ngano chapa maandazi.
Mwanaume akiwa na pesa haoni shida kutoa posa kubwa ni fahari kwake, shida inakuja kama pesa ya kudundulizaWewe si umesema huenda dada au shangazi zetu ,posa ikawa kilo moja ya unga wa ngano chapa maandazi.
Jamaa ni mpuuzi sana, hivi idara ya uhamiaji haiwezi kumkamata na kumpeleka kwao chap maana katutia haibu wanaume tunaojitambua akili. Unaoa changu kweli tena mwenye watoto wa vibaka wengine tofauti tofauti?Huyu limbukeni kapotea sana, kachukua mali yà umma. Hapa mwàka mmoja tuu hamisa atakuwa keshapata alizozitaka ndo mwisho wa Ki.
Eñg Hersi kampoteza huyo. Alichomfanyia dogo ukweli ni kibàya sana, kumuingiza chaka kwa mobeto?Nakata rufaa kwa huyu dogo kuoa changudoa, katudhalilisha sana wanaume hapa nchini......hivi nikienda pale Uhamiaji nachukua fomu gani ya kumfukuzisha Azizi nchini kwa kufunga ndoa batili?
Unatoa pesa mingi kwa kitu kipya sio reconditionIla utamu upo sio mpaka mwanamke awe bikra ndio uenjoy 😀😃😃
La kunyonya pussyDomo
Uchawi upo na unafanya kazi, Single maza mwenye mabao mawili yanayotembea. Still 30million na fuso mbili za ng'ombe.
Ujinga tu nitoe million 30 kwa mtu ambaye hana hata thamani ya utu wake , kiujumla hana BIKRA , nifaida gani naipata sasa kwa kuoa aliyetumika na wanaume tofauti tofauti ?Wakuu
Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025)
Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine
Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
View attachment 3236974
Hizo million unazo sasa? 😂😂😂Ujinga tu nitoe million 30 kwa mtu ambaye hana hata thamani ya utu wake , kiujumla hana BIKRA , nifaida gani naipata sasa kwa kuoa aliyetumika na wanaume tofauti tofauti ?
Niwakumbushe ndoa ya hamisa haiwezi kudumu kamwe hata iweje hata iwe usiku na mchana ,mwanamke huyo kaenda zake kupiga pesa baada yakupiga pesa na Azizi akiishiwa ndo kuachwa kwake na aangalie isiwe kama kwa Ndikumana alikufa kizembe sana .
Hivi waislam si unaweza kumuolea mtu