Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

Vijana wengi wadogo wanamichezo na wasanii wakioa mashangazi huwa ndoa zinavunjika baada ya kustaafu fani zao, kijana atakuja kujutia sana haya maamuzi, PASU KWA PASU , Watu wapo MAWINDONI

Siku hizi NBA katika kila wachezaji 10 ndoa nane zinavunjika, kilichofuatwa ni pesa na umaarufu wa kuwa mke wa fulani kipindi yupo peak

Ngolo Kante na yeye kaoa Shangazi atakuja kulia
 
Vijana wengi wadogo wanamichezo na wasanii wakioa mashangazi huwa ndoa zinavunjika baada ya kustaafu fani zao, kijana atakuja kujutia sana haya maamuzi, PASU KWA PASU , Watu wapo MAWINDONI

Siku hizi NBA katika kila wachezaji 10 ndoa nane zinavunjika, kilichofuatwa ni pesa na umaarufu wa kuwa mke wa fulani kipindi yupo peak

Ngolo Kante na yeye kaoa Shangazi atakuja kulia
Wewe waache..
Emanuel Eboue anawa zoom tu.
 
Wakuu

Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025)

Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine

Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
View attachment 3236974
Aziz K ni simp,Aziz Ki namfananisha na mume wa Irine Uwoya,yule alikua mchezaji wa Burundi,Hamadi Ndikumana,.................dalili zote zinaonesha kinaenda kutokea kile kile.
Ameshindwa kuwaiga Alpha male kama wakina Sadio mane,christiano Ronaldo,wakina Hakim
Ok ameshindwa kuwaiga wenzake waliopita kwenye huo mtumbwi wakavuka wakaendelea na mambo mengine...........Simtabilii mabaya lakini kama ni kweli,anaenda kuliweka ndani jamvi la wageni,..........Muda utaenda kumuhukumu
 
Aache kupaka putty na kuvaa mawigi ndio tuone huo uzuri. Halafu mwanaume wewe unaoa kwa sababu ya pesa tena alizohongwa na wanaume wenzio.
Anaeoa ni aziz, na anamuoa Mtanzania mwenzetu, tuwape baraka tu, ni jambo jema kwasababu katuheshimisha, vip kama angekuwa ndugu yako, ungeongea hayo..!?
Ndo maana kuna watu wengine huwa wanasema watanzania hatupendani
 
Back
Top Bottom