Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DomoHela za nani?
Hata kama ameolewa mahari ikiwa bure, muhimu single mama kaolewa! Tena na mwanaume wa maana☺️Hmm.. milione 30 mahari? Mnauhakika na haya mnayoandika
Unafananisha Hamisa ana hao kina Mwajuma?Mimi huwa nasema, Hizo kelele za bikra , single maza na blah blah kama hizo zipo huku mtandaoni tu, ila kiuhalisia watu wanaoa na wala hawajali😂😂😂
Aziz kashikwa AkiliUchawi is real
Wazee wa singo mama mnaitwa huku
Huyu bwege kweli million 30 zote hizo ila jamani tako la mobeto zuriii
Kimfaacho mtu, ni swala la muda tu, hilo ni fumboKwani wanawake Tanzania ni adimu mpaka ukatoe mahari kwa kopo la chooni lililotumika kiasi hicho.
Huo uweupe umemzuzua mbukinabe....Afrika Magharibi kupata wa sampuli hiyo sio rahisi.
Mimi naweza kuwa mzazi kwako. Jiulize waliochezea wakaacha ilikuwaje au wewe una addiction na leftovers.Inawezekana wewe ni mtoto haujui kitu bado naona ni joined 2025
Wewe waache..Vijana wengi wadogo wanamichezo na wasanii wakioa mashangazi huwa ndoa zinavunjika baada ya kustaafu fani zao, kijana atakuja kujutia sana haya maamuzi, PASU KWA PASU , Watu wapo MAWINDONI
Siku hizi NBA katika kila wachezaji 10 ndoa nane zinavunjika, kilichofuatwa ni pesa na umaarufu wa kuwa mke wa fulani kipindi yupo peak
Ngolo Kante na yeye kaoa Shangazi atakuja kulia
Aziz K ni simp,Aziz Ki namfananisha na mume wa Irine Uwoya,yule alikua mchezaji wa Burundi,Hamadi Ndikumana,.................dalili zote zinaonesha kinaenda kutokea kile kile.Wakuu
Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025)
Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine
Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
View attachment 3236974
Anaeoa ni aziz, na anamuoa Mtanzania mwenzetu, tuwape baraka tu, ni jambo jema kwasababu katuheshimisha, vip kama angekuwa ndugu yako, ungeongea hayo..!?Aache kupaka putty na kuvaa mawigi ndio tuone huo uzuri. Halafu mwanaume wewe unaoa kwa sababu ya pesa tena alizohongwa na wanaume wenzio.
Kwa majibu haya mzee wako hakumkuta mama yako kama ni bikiraMimi naweza kuwa mzazi kwako. Jiulize waliochezea wakaacha ilikuwaje au wewe una addiction na leftovers.
Jamaa kashashikwa kwani asitoe na anazo tena izo ni kidogo.Inawezekana wewe ni mtoto haujui kitu bado naona ni joined 2025
duuuu foleni???