Hawakujui
Member
- Nov 15, 2024
- 35
- 73
Hata viwango vya kuhonga tunatofautiana, wengine wanahonga chips yai, wengine Magari, wengine Nyumba. Kwahiyo maisha lazma yaendeleeHmm.. milione 30 mahari? Mnauhakika na haya mnayoandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata viwango vya kuhonga tunatofautiana, wengine wanahonga chips yai, wengine Magari, wengine Nyumba. Kwahiyo maisha lazma yaendeleeHmm.. milione 30 mahari? Mnauhakika na haya mnayoandika
Ngolo Kante atakuja kupiga ukunga, Kafa kaoza kwa shangazi la kizungu, ni suala la muda tu, Ila tuache masihara mashangazi wanajua kuwachanganya vijana wadogo, uzoefu wanao mkubwa sanaWewe waache..
Emanuel Eboue anawa zoom tu.
Kwa upande wangu mimi naona nikiandika haitoshi nimerekodi voice note👇 sikiliza kwa umakiniWakuu
Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025)
Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine
Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
View attachment 3236974
Kakutana na mtoto wa Uswahilini lazima akalishwe, na hapo katiliwa uchawi wa buku 5Bwana mdogo anaharibu career yake waziwazi.
Baby, umesahau kitu cha msingi... pia ni 30+
Kaa kwenye nafasi yake huyo mabeto kama kwenu hawajakugawa bure na asante watoe ukweni.
Kuongezea tu na anajulikana ukifika bei anakupea, tena miguu yote 😆 😂 😆 😂 😆
Si ni zakeDomo
Single Mama shida ni moja tu, atatulia? Huna haja ya kumuita Robert Heriel Mtibeli baada ya Mwaka Kama ndoa itakuwa Bado ipo! Wengi
Mimi huwa nasema, Hizo kelele za bikra , single maza na blah blah kama hizo zipo huku mtandaoni tu, ila kiuhalisia watu wanaoa na wala hawajali😂😂😂
Vichawi utavijua tu!Mimi huwa nasema, Hizo kelele za bikra , single maza na blah blah kama hizo zipo huku mtandaoni tu, ila kiuhalisia watu wanaoa na wala hawajali😂😂😂