Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ndio story mnazopenda 7-2 FCMzize anatosha huyo Azizi aende tu
Utamuuzaje mchezaji aliye huru? Au hujaelewa maana ya yeye kutaka apewe hela hizo?Huyu anauzika ata kwa $2m kwenye ligi ya Africa kusini au championship kule Uingereza.
tuumuuzeee tupatehela
Mkataba wake unaisha mwisho wa msimu huu kwaiyo anakua mchezaji hurutuumuuzeee tupatehela
Hata kama usipozisikia kwa wana Simba, kama ndivyo ilivyo utasikia tuHizi ndio story mnazopenda 7-2 FC
Sio mara mbili ni mara 4 kama sijakoseaKakufunga mara mbili huyo mzee Simba SC 🤣😁
Aziz ki mwishoni mwa msimu mkataba wake unafika tamati anaweza kuondoka kama mchezaji huruMwisho wa siku mpira ni biashara, wamuuze waangalie faida. watanunua mwingine kwani huyo Aziz Ki walimpataje?
Hii imekula kwao. Kuna uzembe hapo.Aziz ki mwishoni mwa msimu mkataba wake unafika tamati anaweza kuondoka kama mchezaji huru
NarekebishaKakufunga mara mbili huyo mzee Simba SC 🤣😁
😅😀😂Mmmhhhh! Kisa mudomo au?
hamanaga uwezo wa kutunza vitu vizuriHizo fedha ni nYingi mno. TUnaweza kupata wacHezaji wawili wazuri kwa fedha hiyo
He refused to sign since last seasonHii imekula kwao. Kuna uzembe hapo.
Yanga cant , sundowns and pyramids has 700 k usd offer per season + signing feehamanaga uwezo wa kutunza vitu vizuri