Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Daah, huyu jamaa amekomaa hadi amepewa $500,000. Tena aliweka masharti kabisa kuwa kabla hajasaini, muamala uwe umesoma kabisa $250,000 kwenye akaunti yake. Hongera Ki, maana 1.2B ni almost 5% ya vitu vyote vilivyopangwa kufanyika Yanga 2024/25