Ameshafanya kazi tuliyomtaka afanye. Kama anauzika kwa faida, basi auzwe tu ili kuzuia matabaka ya miongonzi mwa wachezaji wetu kwani dau analotaka litaweka tofauti kubwa sana na wachezaji wengine, jambo linaloweza kuwapunguzia motisha kama timu.Kiuongo Mshambuliaji wa Yanga Aziz Ki amewambia viongozi wake kama wanamuhitaji kuendelea kusalia klabu hapo basi wanapaswa kumpa mkataba wenye thamani wa Dola laki 5.
Ofa ya Yanga kwa Aziz Ki ni dola laki tatu na nusu pekee. Vipi sasa wadau na mashabiki wa Yanga, Aziz Ki abaki au asepe tu?
Aaahhh Myahudi wa Bonyokwa kumbe ni weweUmeshakula njugu zako sasa zinakupelekea kukashfu wenzako sio?
Kiuongo Mshambuliaji wa Yanga Aziz Ki amewambia viongozi wake kama wanamuhitaji kuendelea kusalia klabu hapo basi wanapaswa kumpa mkataba wenye thamani wa Dola laki 5.
Ofa ya Yanga kwa Aziz Ki ni dola laki tatu na nusu pekee. Vipi sasa wadau na mashabiki wa Yanga, Aziz Ki abaki au asepe tu?
Atakavoamua yeye yanga ni kubwa kuliko Aziz kiEngineer sio boya kihivyo. Hakuna pesa hiyo
Kila mtu aringie alichojaliwa! Ni haki yake! Kama Yanga wanataka kupiga hela wampe hiyo hela asaini mkataba chap chap halafu mwamwuze kwa Al Ahly au Masandawana!Aende tu huyo asijione mkubwa
Mlishangilia alipoondoka Mayele mkifikri mtapumzika mateso, sasa hivi mmeanza tena kwa Aziz Ki! Taabu iko pale pale!Izo Hamptati hata mia maana yuko huru hana mkata na yanga kwa sasa
Hawa wa kwetu hata ukiwekeza huwezi kupata quality ya akina Aziz Ki na akina Pacomé! Jamaa hawakwepeki!Mi nadhani timu zetu ziwekekeze zaidi kwenye wachezaji wa nyumbani.
Tusajiri wa kigeni lakini mkazo mkubwa tuweke nyumbani.
Itapunguza gharama na pia kujenga uwezo wa watu wetu
Mnapenda sana kuokoteza habari za vijiweni, habari haina hata source. Wewe ulikutana na Aziz Ki akakuambia haya??Kiuongo Mshambuliaji wa Yanga Aziz Ki amewambia viongozi wake kama wanamuhitaji kuendelea kusalia klabu hapo basi wanapaswa kumpa mkataba wenye thamani wa Dola laki 5.
Ofa ya Yanga kwa Aziz Ki ni dola laki tatu na nusu pekee. Vipi sasa wadau na mashabiki wa Yanga, Aziz Ki abaki au asepe tu?
Naunga mkono hojaNarekebisha
Ni mara tatu
Naunga mkono hojaSio mara mbili ni mara 4 kama sijakosea
SureShould let him go then.
Napendekeza aondoke tu Bora wapatikana wakina pacome 3Kiuongo Mshambuliaji wa Yanga Aziz Ki amewambia viongozi wake kama wanamuhitaji kuendelea kusalia klabu hapo basi wanapaswa kumpa mkataba wenye thamani wa Dola laki 5.
Ofa ya Yanga kwa Aziz Ki ni dola laki tatu na nusu pekee. Vipi sasa wadau na mashabiki wa Yanga, Aziz Ki abaki au asepe tu?
Virabu vya Tz havina uwezo huo wa kipesa wa kuweza kumzuia mchezaji, wanachama hiyo pesa tu ya kulipia kadi kwa mwaka ni mtihani!! Na ndio maana kamwe amewambia sio tu kupiga kelele, kama mnataka abaki changeni pesa.Naunga mkono Hoja , Ila kama Mtindo ni huu wa kuachia kila mchezaji anaefanya vizuri kwasababu ya kukosa hela Ubingwa wa Afrika tutausikia tu kwenye Bomba.
Kolo kolo weweMzize anatosha huyo Azizi aende tu