Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 23,566 Reaction score 24,891 Jul 11, 2024 #81 Daah, huyu jamaa amekomaa hadi amepewa $500,000. Tena aliweka masharti kabisa kuwa kabla hajasaini, muamala uwe umesoma kabisa $250,000 kwenye akaunti yake. Hongera Ki, maana 1.2B ni almost 5% ya vitu vyote vilivyopangwa kufanyika Yanga 2024/25
Daah, huyu jamaa amekomaa hadi amepewa $500,000. Tena aliweka masharti kabisa kuwa kabla hajasaini, muamala uwe umesoma kabisa $250,000 kwenye akaunti yake. Hongera Ki, maana 1.2B ni almost 5% ya vitu vyote vilivyopangwa kufanyika Yanga 2024/25