Aziz Ki atumie muda mwingi kujifunza kwa Chama

Basi linganisha takwimu za uko alikotoka pia kama unataka takwimu
 
Kama hili [emoji23][emoji23]
 
kwani kuna ubaya kujifunza kwa mtu anayekuzidi mauwezo?
 
Nyie hata siwashangai uwezo wenu wa kufikiri. Nakumbuka msimu uliopita mechi hata kumi hazijafika mkaleta uzi wa Kibu kuwa ni bora kuliko Mayele. Shida mna haraka mno
Kibu kwa nyakati zile alikuwa bora kuliko Mayele kuzingatia muda anaocheza

Azizi Ki ni mchezaji mzuri ila sio wa kumfananisha na Chama, Chama ni high level

Mchezaji mnayetaka mpaka acheze mechi 20 ndio mpime ubora wake huwezi kufananisha na ubora wa mchezaji anao uonesha kila mechi anayo cheza
 
Futa rekodi zote za Mwamba msimu 4,anzia Simba Day mpaka sasa. Kisha linganisha
 
Kuna tobo halafu kuna tobo na goli juu tofautisha
 
Mambo mengine yanastaajabisha sana. Wacha tu ninyamaze ili nisionekane nina nongwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huna mpyaaaa, unabaki kulia lia Lol.
 
Angekuwa mzuri lisingekaa bench na kufukuzwa berkane[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Huyo Aziz Ki hata kuuliziwa huko Berkane nehi, mwenzake Karim yuko zake Ulayaaaa. Yeye kigamboni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…