OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #81
Hili la yeye kuwa Kigamboni waende wakalifanyie kazi 🤣🤣🤣Huyo Aziz Ki hata kuuliziwa huko Berkane nehi, mwenzake Karim yuko zake Ulayaaaa. Yeye kigamboni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchezaji high level anayeishia kucheza Tanzania pekee. Aisee mahaba yakizidi ni upofu.Kibu kwa nyakati zile alikuwa bora kuliko Mayele kuzingatia muda anaocheza
Azizi Ki ni mchezaji mzuri ila sio wa kumfananisha na Chama, Chama ni high level
Mchezaji mnayetaka mpaka acheze mechi 20 ndio mpime ubora wake huwezi kufananisha na ubora wa mchezaji anao uonesha kila mechi anayo cheza
Sasa Rasta mbona swala la Chama kucheza ligi ya ndani linaeleweka ni kutokana na protocols za CAF?Mchezaji high level anayeishia kucheza Tanzania pekee. Aisee mahaba yakizidi ni upofu.
Protocols za CAF zimesemaje kuhusu Chama kutocheza kwenye timu za nje ya Tanzania? NifahamisheSasa Rasta mbona swala la Chama kucheza ligi ya ndani linaeleweka ni kutokana na protocols za CAF?
Linahusiana vipi na kiwango cha mchezaji?
anunue kaunta kuandika notesNa ajifunze×10
Hili swala tulisha lijadili siku nyingiProtocols za CAF zimesemaje kuhusu Chama kutocheza kwenye timu za nje ya Tanzania? Nifahamishe
ukiweka mlinganyo wa game zao tangu Simba Day na Uto Day unapata majibu gani? acha kujifichia hukoMtu ana miezi miwili analinganishwa na mtu ana miasimu karibu mitano,asa apo nani wakujifunza kwa mwenzake?shida mikia hamnaga akili[emoji23]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Swala langu sio kwanini hachezi mechi za kimataifa bali ni kwanini mchezaji unayemsifia kuwa yuko high level, aishie kuchezea Tanzania badala ya timu kubwa kama Wydad, Al Ahly, n.kHili swala tulisha lijadili siku nyingi
Post in thread 'Kwa hili, Clatous Chama ajitafakari, hakupata ushauri mzuri' Kwa hili, Clatous Chama ajitafakari, hakupata ushauri mzuri
kwani Simba timu ndogo. haya ni matokeo ya Star kuishi mtaa mmoja na watu wa kawaidaSwala langu sio kwanini hachezi mechi za kimataifa bali ni kwanini mchezaji unayemsifia kuwa yuko high level, aishie kuchezea Tanzania badala ya timu kubwa kama Wydad, Al Ahly, n.k
Ni timu ndogo ndio kwa barani Africa. Au unataka kusema Simba inakombe gani la CAF?kwani Simba timu ndogo. haya ni matokeo ya Star kuishi mtaa mmoja na watu wa kawaida
Aisee wanaliwa sasa!Simba ni tamu kama maini
Mmekazana kombe kombee kau mnamanisha kombe nyama ya ngo'mbe?? Sisi tunajulikana kwa kuwapiga miamba ya soka na kuongoza makundi. Robo fainali zikizidi zinakua nusu fainali mwisho tunachukua kombe siku si nyingi.Ni timu ndogo ndio kwa barani Africa. Au unataka kusema Simba inakombe gani la CAF?
Hakuna kipyaMmekazana kombe kombee kau mnamanisha kombe nyama ya ngo'mbe?? Sisi tunajulikana kwa kuwapiga miamba ya soka na kuongoza makundi. Robo fainali zikizidi zinakua nusu fainali mwisho tunachukua kombe siku si nyingi.
Kwani Simba sio timu kubwa?Swala langu sio kwanini hachezi mechi za kimataifa bali ni kwanini mchezaji unayemsifia kuwa yuko high level, aishie kuchezea Tanzania badala ya timu kubwa kama Wydad, Al Ahly, n.k
Lete na inayoonesha mnaongoza group kwa kuwa juu ya Al AhlyHakuna kipyaView attachment 2340122