Azzan Zungu ataka mazungumzo Bandari ya Bagamoyo kunusuru tatizo la ajira

Azzan Zungu ataka mazungumzo Bandari ya Bagamoyo kunusuru tatizo la ajira

Siungi mkono Kujenga hii Bandari.

Na sijui kwa nini inashikiwa bango bila maelezo ya kutosha kuhusu Bandari ya Dar, Tanga na Mtwara.

Hivi uhitaji wa hii Bandari ni mkubwa kiasi hicho hata tuache shughuli nyingine tuweke nguvu hapo?.
Wanatafuta 10%
 
Wote wanaoshadadia mambo ya kipuuzi makaburi yao yatakuja kufungwa pingu
Yaaani Bandari ya Bagamoyo itakayokuwa na Industrial park pamoja na kutengeneza mamilioni ya ajira ndo jambo la kipuuzi? Huna akili wewe
 
Ni yaleyale kama ya ujenzi wa viwanja viwili vya michezo sehemu moja, Uwanja wa Benjamin Mkapa na ule Uhuru.

Kuna faida nyingi za kiuchumi tutazipata kama nchi endapo bandari za Mtwara na Tanga zitakapopanuliwa na kuweza kupokea shehena kubwa za mizigo badala ya kung'ang'ania ujenzi mpya wa bandari ya Bagamoyo ambayo ipo karibu sana kijografia na bandari ya Dar es Salaam.
Kwa akili zako ukisikia Bandari ya Bagamoyo unadhani sehemu ya kupakia na kupakua mizigo tu??
 
Mbunge wa Ilala ameomba muongozo leo Bungeni Dodoma kuhusu mpango wa Serikali kuanzisha mazungumzo tena ya bandari ya Bagamoyo kutokana bandari ya Dar es Salaam kuzidiwa na kutokuwa na uwezo wa kuingiza meli kubwa. Zungu amesema bandari ya Bagamoyo itapelekea kuanzisha viwanda, kuleta ajira na gateway kwa Bagamoyo.

Zungu amesema ulikuwa mpango wa Serikali kuanzisha Industrial Park Bagamoyo lakini wakapata mgogoro wa kimkataba.


mradi wa hovyo kabisa
 
Kama anataka ajira za haraka wachangamshe kwanza Dar& Mtwara Port. Wafanye mpango tuwe na export kubwa waruhusu watu wapeleke makaa ya mawe nje kutoka Songea na Chuma kutoka Mchuchuma na Liganga. Mtwara zitatokea direct and indirect jobs nyingi kama meli zikiwa zinakuja kupakia makaa ya mawe.
 
Huyo anataka 10% ambayo ni mabillioni ya $$$. Kuwapa hao wachina for 99 years ni kuuza nchi. Jinsi wabunge wetu walivyo na akili ya kuku hilo litapita. Magufuli alipiga stop Hilo.
Zungu ni dalali Mpiga dili yule viwanja navyo vingi sana heka za kutosha wamezungushia fance wanangoja mradi uanze ccm bhana wanatamani malizo zote za nchi ziwe zao
 
Bagamoyo pia ingetanua Jiji la Dar Es Salaam maana miundombinu iloyopo ndio ina support bandari iendelezwe Bagamoyo. Mfano SGR ukaribu na Airport ya kimataifa kubwa.... N.k sasa Mtwara huko itahitaji tena usafirishe mpaka Dar ndio upeleke mkoani au uweze ku access Amenities nyingi hivyo inakua costly zaidi.

Nadhani kwa Bagamoyo ni viable zaidi pia ina naturap port yenye kina kirefu possibly kuliko za mtwara na wenzie.
Bagamoyo sio deep natural port kama Tanga na Mtwara, kiukweli hakuna sababu za maana za kujenga Bagamoyo badala ya Tanga, kujenga hiyo bandari Bagamoyo ni kuiua bandari ya Dsm, je hili ni faida kwa nani ?
 
Bandali ijengwe lakini isiwe na masharti magumu na tusipewe vikwazo vya kodi na hao wezi
Pia ikiwezekana serikari ikope ijenge hiyo bandali.
Siungi mkono Kujenga hii Bandari.

Na sijui kwa nini inashikiwa bango bila maelezo ya kutosha kuhusu Bandari ya Dar, Tanga na Mtwara.

Hivi uhitaji wa hii Bandari ni mkubwa kiasi hicho hata tuache shughuli nyingine tuweke nguvu hapo?.
 
Mbunge wa Ilala ameomba muongozo leo Bungeni Dodoma kuhusu mpango wa Serikali kuanzisha mazungumzo tena ya bandari ya Bagamoyo kutokana bandari ya Dar es Salaam kuzidiwa na kutokuwa na uwezo wa kuingiza meli kubwa. Zungu amesema bandari ya Bagamoyo itapelekea kuanzisha viwanda, kuleta ajira na gateway kwa Bagamoyo.

Zungu amesema ulikuwa mpango wa Serikali kuanzisha Industrial Park Bagamoyo lakini wakapata mgogoro wa kimkataba.


Kwani waliokataa mradi huu siyo walewale wakiongozwa na hayati? Naona akili zao zinaanza kurudi polepole.
 
HUU MRADI WA BANDARI NA INDUSTRIAL PARK UNAENDA KIZIMKAZI ZANZIBAR NA WATANGANYIKA NDIO MTALIPIA DENI.

NI BORA HATA UJENGWE TU BAGAMOYO.....
 
CCM bana..... tushike lipi mbona mnatuchanganya??

 
Jambo la msingi ni kuboresha bandari zilizopo za dar, Tanga na Mtwara... Bandari ya bagamoyo ni ufisadi na mwiba kwa bandari zilizopo...

Kuboresha bandari ya tanga ni vizuri ukizingatia bomba la mafuta kutoka Uganda litaishia pale...

Bandari zilizopo hazitoshi maana hazina uwezo wa kupokea meli kubwa na ndo mana kwa sasa meli kubwa zinaelekea lamu au Mombasa ndo mizigo midogo ije Dar na pia uwezo wa kuipanua bandari ya Dar umefika kikomo hivyo its better tujenge bandar nyingine mapema kabla hatujashindwa kupokea meli kisa bandari ya Dar imejaa
 
Huyu mzee ameshatuona sisi ni wajinga tutafanya Kila anachosema.

Who does he think he is??
Mkuu, anatekeleza ilani ya Uchaguzi ya CCM - Kuhusu bandari kulikuwa na upotoshwaji tunaambiwa.
 
Ngoja tuunge dot....

  • Ndugai
  • Zungu
  • Bagamoyo sugar
  • Singh
  • Msofe
  • Kutosikika/kung'aa kwa PM
  • VP kupotea kwenye medani
  • Katiba mpya kukataliwa
  • Kufuta mashitaka na kuachiwa tycoons
  • Manji kurudi
  • Kusafisha Kamati kuu
  • Wateule wa awamu ya nne kurudi
  • Raisi kusisitiza ulazima wa Industrial park bila kuweka bayana nini ilikuwa mbaya na nini imeboreshwa, kwa kutuwekea bayana tuchambue wenyewe.
  • Bandari zote 3 zinapanuliwa kwa gharama kubwa, udogo huo unatoka wapi?
  • Znz kuchomoza kwenye picha ya Tanganyika
  • Mikopo lukuki ndani ya siku 100
  • Kuongea na Jin(Bandari ya bagamoyo itahusika)
  • Rais wa Botswana na BFM
  • Znz, Dar, Dom cylce
  • Kulipa malimbikizo na kupandisha madaraja

Mungu nisaidie niione TZ ijayo, maana nimeikutia kati, sijui ilipotoka, sijui inapokwenda, ila najua ilipo kwa sasa; Kazi iendelee.
Wewe ulitakaje? Ongeza na mambo mengine mengi aliyofanya ndani ya siku 100
 
Jambo la msingi ni kuboresha bandari zilizopo za dar, Tanga na Mtwara... Bandari ya bagamoyo ni ufisadi na mwiba kwa bandari zilizopo...

Kuboresha bandari ya tanga ni vizuri ukizingatia bomba la mafuta kutoka Uganda litaishia pale...
Kuboresha matumbo yao mpaka yapasuke. Wapo kuvimba matumbo, they are crooks, they should all be locked up at Keko.
 
Back
Top Bottom