Huyo mtoa mada hajui kitu, kuna watu pale IPP na Wasafi Media hawajalipwa mwezi wa tatu sasa, kuna jamaa anaitwa Musa Kawambwa anatangaza ULive ya UFM ya azam media alikwenda Wasafi Media alichokutana nacho huko hawezi kusahau maisha yake yote.Ungekuwa unajua mishahara ya watangazaji usingeandika hivi
Kwani huyu Kitenge anategemea hizi radio station au ana mambo yake mengine anayoyajuwa yeye mwenyewe?
Maana safari za ng'ambo ulaya na Marekani Kitenge anaweza kushindana na Kikwete.
Sidhani hizo redio kama ndio ajira rasmi za Kitenge Mimi nadhani ni cover tu.
Huyo Gerald Hando alimatch sana na Masoud Kipanya, Clouds media is where he deserve, huyo mwingine Oscar Oscar Mimi nimemjulia WhatsApp naona memes zake zinasambaa, sijawahi hata kusikia huwa anatangaza kitu gani.
Ht hy milioni haifikiiHumu mitoto inaropoka tu watangazaji tena hivi vya fm vunapewa laki mbili mpaka milion haivuki hapo na hakuna mkataba
😂🤣 aisee hii mbona kali, nilishawahi ishi nyumba moja na mtangazaji wa TBC, ni yale yale tu.Nilishakaa karibu na watangazaji wa RFA na kiss .Bwiru place -Mwanza walikuwa na njaaa ya hatari wangeweza kula hata magodoro.
Msiwe mnawadanganya vijana wasio jua kitu
Tanzania hakuna media inayolipa zaidi million tatu kwa mtangazaji
Signing fee ya nyiok? Yaani Tanzania siku hizi ukiomba kazi unalipwa?
Wasafi inampa faida ngapi kusaga hadi afanye huo upuuz
Habari za uhakika nilizonazo ni kwamba B Dozen ameondoka EFM na kutaka kurudi Clouds. Hata hivyo hawajareach agreement na Clouds, at the same time Wasafi wanamnyatia.
Oscar Oscar ameondoka EFM, Amejiunga na Wasafi kwa signing fee ya shilingi milioni 100. Mshahara wake kwa mwezi ni shilingi milioni 6.5.
Gerald Hando naye amejiunga na Wasafi akitokea EFM.
Maulid Kitenge yuko kwenye hati hati. Diamond anataka kumpa milioni 200 na Range Rover. Wako hatua nzuri hasa ukizingatia kwamba Hando na Oscar ambao ni marafiki zake wakubwa wameshaaenda EFM.
Ni test ngumu kwa Majizzo, akivuka salama hapa EFM haitashuka hata siku 1.
Hando, Kipanya na Fina Mango ilikua 🔥🔥🔥. Hando alikuwa anakuambia mtu tatu kama bilioni 3.Kwani huyu Kitenge anategemea hizi radio station au ana mambo yake mengine anayoyajuwa yeye mwenyewe?
Maana safari za ng'ambo ulaya na Marekani Kitenge anaweza kushindana na Kikwete.
Sidhani hizo redio kama ndio ajira rasmi za Kitenge Mimi nadhani ni cover tu.
Huyo Gerald Hando alimatch sana na Masoud Kipanya, Clouds media is where he deserve, huyo mwingine Oscar Oscar Mimi nimemjulia WhatsApp naona memes zake zinasambaa, sijawahi hata kusikia huwa anatangaza kitu gani.
Nimeshawahi kuwa karibu na watu wa media. Kiukweli maisha yao ni magumu sana. Mwaka 2012 kuna redio moja sitaitaja ilikuwa inalipa 150k kwa watangazaji wao wengi. Ila nao watu wa media ni kama misukule... yaani kukaa nyuma ya MIC kwao inawapa raha za ajabu hata usipowapa mishahara kwao poa tu.😂🤣 aisee hii mbona kali, nilishawahi ishi nyumba moja na mtangazaji wa TBC, ni yale yale tu.
Hivi huwezi kuona kama nyumba ni Property?CR7 ana $500m lakini anatafuta dalali wa kupangisha nyumba yake kule Portugal
Hata prof wa chuo halipwi hivyo.Milion 6.5??? Narudi[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Kama profesa hafikishi hiyo hela basi hali ni mbaya.Hata prof wa chuo halipwi hivyo.
Kwa wenye majina makubwa na umaarufu wana ahueni kidogo ila wengi ni kawaida sana.Nimeshawahi kuwa karibu na watu wa media. Kiukweli maisha yao ni magumu sana. Mwaka 2012 kuna redio moja sitaitaja ilikuwa inalipa 150k kwa watangazaji wao wengi. Ila nao watu wa media ni kama misukule... yaani kukaa nyuma ya MIC kwao inawapa raha za ajabu hata usipowapa mishahara kwao poa tu. Ule umaarufu uchwara unawazuzua. Kwenye media angalau wanawake ndo wako poa kwasababu wana mambo yao mengine. Waandishi, watangazaji na wasanii ni watu wenye maisha magumu.
Wacha wee, wakukulupuka, huyo Majizo mwenyewe mmiliki wa hiyo EFM mshahara wake haufiki hapo.Acha upuuzi kitenge EFM alikua anakula 16M
Wenye ahueni ni wachache mno.Kwa wenye majina makubwa na umaarufu wana ahueni kidogo ila wengi ni kawaida sana.
Wewe unadhani Maprofesa wangelipwa vizuri wangeng'ang'ania siasa ya kazi gani? K.ushindana na darasa la saba kina Bajaj?Kama profesa hafikishi hiyo hela basi hali ni mbaya.
Uongo mkubwa huu.Acha upuuzi kitenge EFM alikua anakula 16M
Usidanganyike utakujaKumbe uandishi wa habari una pesa hivi duuh