B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

Kitenge ana "Lishangazi" lake US.... inawezekana na yenyewe ni cover up tu
 
Your browser is not able to display this video.
 
Hando, Kipanya na Fina Mango ilikua 🔥🔥🔥. Hando alikuwa anakuambia mtu tatu kama bilioni 3.
 
😂🤣 aisee hii mbona kali, nilishawahi ishi nyumba moja na mtangazaji wa TBC, ni yale yale tu.
Nimeshawahi kuwa karibu na watu wa media. Kiukweli maisha yao ni magumu sana. Mwaka 2012 kuna redio moja sitaitaja ilikuwa inalipa 150k kwa watangazaji wao wengi. Ila nao watu wa media ni kama misukule... yaani kukaa nyuma ya MIC kwao inawapa raha za ajabu hata usipowapa mishahara kwao poa tu.

Ule umaarufu uchwara unawazuzua. Kwenye media angalau wanawake ndo wako poa kwasababu wana mambo yao mengine. Waandishi, watangazaji na wasanii ni watu wenye maisha magumu.
 
Kwa wenye majina makubwa na umaarufu wana ahueni kidogo ila wengi ni kawaida sana.
 
Kama profesa hafikishi hiyo hela basi hali ni mbaya.
Wewe unadhani Maprofesa wangelipwa vizuri wangeng'ang'ania siasa ya kazi gani? K.ushindana na darasa la saba kina Bajaj?

Hivi hujiulizi ni kwa nini Lipumba project za wazungu alikuwa anakwenda kufanya na anaicha CUF na anakaa muda mrefu Ulaya, lakini sasa hivi yupo radhi alale Buguruni kuliko kumuondowa CUF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…