Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

Sinza hii hii au kuna sinza nyingine ?
 

Sasa apo umekimbia nini? [emoji16]
 




Soccer City, 5N, The Calabash

Sema wale walevi wa miaka ile sasa hivi ndio makamo ya marehem Gardner
 
Ili isiwe over rated , wapi panapazidi sinza hapa kibongo bongo?
Mkuu tabata inakuja juu...sinza huwez kuta kijana akawa ana miliki nyumba pale akiwa na umri wa miaka 25..labda awe amerithi....na hata mahakamani kesi nyingi za urithi ni kinondon...sinza..:
 
Kuna time alikuwa anashinda governors kwule yaaah tule mwenye rasta ndio kaachiwa zile frame pale aisee noma kweli
 
Yaaah namkumbuka ila wale mademu bwana wana nyege na mademu wenzao, kuna siku nlikuwa ben pale wakaja walikuwa na birthday party ikabid me niage zangu pambano yamekuja kila mtu na beb wake alafu yule rasta ndio incharge
 
Mkuu tabata inakuja juu...sinza huwez kuta kijana akawa ana miliki nyumba pale akiwa na umri wa miaka 25..labda awe amerithi....na hata mahakamani kesi nyingi za urithi ni kinondon...sinza..:
wewe unaongelea sehemu za starehe au unaongelea kijana kumiliki nyumba?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…