Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

Mama sio mtananyika akimaliza mda wake anarudi mchambawima kwenda kulea wajukuu nyie mtajijua wenyewe na Tanganyika yenu
Kwa nini Hawa wazanzibar wanabinafisisha mali za tanganyika na isiwe Zanzibar. Prof mbalawa mzanzibar na Mama mzanzibar.
 

Attachments

  • IMG-20230606-WA0078.jpg
    50.4 KB · Views: 2
  • IMG-20230606-WA0077.jpg
    122.4 KB · Views: 1
  • IMG-20230606-WA0074.jpg
    69.5 KB · Views: 1
  • IMG-20230606-WA0071.jpg
    57.2 KB · Views: 1
  • IMG-20230606-WA0070.jpg
    35.8 KB · Views: 1
  • IMG-20230606-WA0059.jpg
    83.1 KB · Views: 2
  • IMG-20230606-WA0085.jpg
    66 KB · Views: 1
Kwa nini Hawa wazanzibar wanabinafisisha mali za tanganyika na isiwe Zanzibar. Prof mbalawa mzanzibar na Mama mzanzibar.
Ndo ujinga wa katiba tuliyonayo kanchi ka watu million 1.5 kanatawala linchi la watu ml 60 na zaidi na mbaya zaidi rasilimali zetu ambazo ni kwa manufaa ya vizazi vyetu vijavyo wanabinabafsisha wa manufaa yao binafsi ,aisee inauma sana
 
Ndo ujinga wa katiba tuliyonayo kanchi ka watu million 1.5 kanatawala linchi la watu ml 60 na zaidi na mbaya zaidi rasilimali zetu ambazo ni kwa manufaa ya vizazi vyetu vijavyo wanabinabafsisha wa manufaa yao binafsi ,aisee inauma sana

Kweli tupu.
 
Hivi wewe enzi za kina Mangungo ungeweza kwenda front kweli? [emoji2]

How come umeshindwa kukitaja hicho kiwanda
 
Mjumbe humjui Chief Mangungo bora ungekaa kimya. Mangungo walau alikuwa anapewa shanga na gobore. Wasaliti wetu wakubwa sasa hivi wanadai tumehuru na serkali za kichief, wameenda Ulaya kusaidiwa kusuka matusi. Walitetea wezi wa malanikia yetu hadi karibu yaishe. Waliuza ATC kwa makaburu, wakasaliti ndege zetu zikakamatwa na maadui, wanamtukana Shujaa wa Nji hii aliyeokoa makanikia yetu, akatugomboa Covid kwa kuunganisha toba za Maaskofu na Mufti kwa novena, kaleta standard gauge, na Stieglers Gorge waliyopinga mabeberu, lami mchi nzima na airports na shule na shpital - zamani zolikuwa zinaishia kumoja sasa wachache wao wanajitia wapinzani kutulaghai kisebusebu. Bsndari yetu iko salama ni win/win. Wachache wanaolalamika bado wangekataa hata kama ingekuwa the other way round. Hawo ndiyo Mangungo, worse than Mangungo.
 
Kama watu ndiyo wajinga kama nyie bora bandari ibinafshwe Tu
 
Leo tunao Mangungo wengi isipokuwa Magu na Nyerere waliobaki wote bwabwa tupu
 
Kumbe mna bunge ?
 
Seriously??? What a statement!!
 
Wako biz na ma V8, kupokea ndege. Kusifiana. Kuwavuruga wakina Mpina. Masafari. Uchaguzi 2025. Kula Kwa kamba zao, kumponda MWAMBA. Kuhudhuria masherehe nk nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…