Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Na alishawapa million 20 baada ya kumbana polisiMkuu pitia vizuri maelezo ya bilionea ,alisema wale jamaa walighairi baada ya week moja tu....hiyo miezi 6 ni kipindi cha malumbano yao kwamba makanjiabai wanataka hela yote waliyolipa wakati mfanyabiashara hataki kulipa yote kwasababu na yeye amekatwa usd 18k na wachina.....Deal lilikufa ndani ya week moja tu yaani tangia mwaka jana sept mwishoni so angeendelea vipi kuleta magari wakati wateja washacancel?
Kudadeki,asili ya wahindi utapeli.Baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.
Wasikilize mwenyewe hapa
Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
Sasa Mkuu Umepewa kipindi cha mpito cha Miezi sita unashindwa kuleta Gari za watu??Haujamsikiliza vizuri bilionea ,sikiliza tena ,alisema baada tu ya week jamaa wakacancel biashara.....kwahiyo hiyo miezi sita ni kipindi cha mpito atarudishaje pesa zote 129.2m wakati na yeye wachina washamla panga la usd 18k?
Aliwapa milion 29 na laki mbili kwahyi bado.wanadai milion 100Na alishawapa million 20 baada ya kumbana polisi
Huyo hajui biashara kubwa zinafanywaje
Hujui abc za biasharaSasa Mkuu Umepewa kipindi cha mpito cha Miezi sita unashindwa kuleta Gari za watu??
Basi kama ana gari awape..
Hata gari likiwa lipo kiwandani haliwezi kuchukua Miezi sita kufika Tanzania..
Huo ni uongo..
Huyu Jamaa anajiita Bilionea ila ameshindwa kuwasilisha Bill of ladding ya watu waconfirm bado mnamuamini?
BILLIONEA AU Bill On Air
Mkuu nafanya Biashara sana ngoja nije na Uchambuxi wa maneno yake na ukweli naandika hapa hapaHujui abc za biashara
Kumbuka walishacancel order week ya pili tu
UKisikiliza maelezo ya wote wawili utaona mangi ni muongo maana walifikia kipindi hadi wakapeana bill of lading feki maana yake ni kwamba hakuagiza kituMkuu pitia vizuri maelezo ya bilionea ,alisema wale jamaa walighairi baada ya week moja tu....hiyo miezi 6 ni kipindi cha malumbano yao kwamba makanjiabai wanataka hela yote waliyolipa wakati mfanyabiashara hataki kulipa yote kwasababu na yeye amekatwa usd 18k na wachina.....Deal lilikufa ndani ya week moja tu yaani tangia mwaka jana sept mwishoni so angeendelea vipi kuleta magari wakati wateja washacancel?
UKisikiliza maelezo ya wote wawili utaona mangi ni muongo maana walifikia kipindi hadi wakapeana bill of lading feki maana yake ni kwamba hakuagiza kitu
Pili hata kama kalipa hiyo 18k kama anavyodai alete proof
Tatu balance ipo wapi ?alipe
Walivyocancell order alirudosha pesa zao?Hujui abc za biashara
Kumbuka walishacancel order week ya pili tu
Na hui ndo ukweliUKisikiliza maelezo ya wote wawili utaona mangi ni muongo maana walifikia kipindi hadi wakapeana bill of lading feki maana yake ni kwamba hakuagiza kitu
Pili hata kama kalipa hiyo 18k kama anavyodai alete proof
Tatu balance ipo wapi ?alipe
Kwani hili swala si yeye aliyolileta humu jf au? Muhindi kanyoosha story kama muhindi kadanganya mangi alete proof , tofauti na hapo alipe tu pesa ya watu siyo kusingizia story za muliro wakati hela alikula peke yakesikujui ila kwa kauli zako nauhakika haufanyi biashara kubwa unafanya biashara za kawaida
Siku fanya biashara zenye hela nyingi ndo utaelewa nachomaanisha
Unaposema hana proof unataka kila kitu akuonyeshe ili iweje we mwenyewe unatumia jina bandia alafu akuonyeshe proof
Hahaha bongo kuna vituko kwamba billionaire kashindwa kulipa mill 120🤣..naunga mkono hoja aliwe kinyeo iwe fundisho kwa mabilionaire fakeRefund ni kuliwa tako tu no way out kmmmk. Ukila cha mjuba lazma upate msiba wa unyoro
Hivi unajua maana ya mkatabaWalivyocancell order alirudosha pesa zao?
Au kama anavyosema huko walitaka kumkata 18k USD aliwapa hizo walizokata za usumbufu?
Mboma haonyeshi Doccuments za Kukatwa au za makato au bill of ladding au hata cancelled Process on landing..
Aseme alikuwa anafanya kazi ya usafirishaji kwa Kutumia kampuni gani?
Na Mbona hataki kuonyesha doccument za huko anakoagiza..
Sio mimi kuna mzee ni billionaire alimdhulumu rafiki yangu elfu hamsiniHahaha bongo kuna vituko kwamba billionaire kashindwa kulipa mill 120🤣..naunga mkono hoja aliwe kinyeo iwe fundisho kwa mabilionaire fake
Hawezi weka mkataba huku ule ni siri na unataratibu zake za kuuvunja hauvunji kihuniKwani hili swala si yeye aliyolileta humu jf au? Muhindi kanyoosha story kama muhindi kadanganya mangi alete proof , tofauti na hapo alipe tu pesa ya watu siyo kusingizia story za muliro wakati hela alikula peke yake
Aende mahakamani na sio kutumia polisi kumtisha muuza magariKama alipewa BL fake hiyo inatosha kumpeleka mahalamani. BL ni document official kwenye international business
Pesa ni za kwake alilipa ili aagiziwe gari na haikuwa hivyo huyo jamaa yenu ni mwizi na kwa kusikiliza hoja zenu mmepanga kudhulumu sasa haya ni maisha msitegemee yule muhindi atawaacha shauri yenuHawezi weka mkataba huku ule ni siri na unataratibu zake za kuuvunja hauvunji kihuni
Mkataba waliosaini ni wa millin 900
Mkataba unavynjwa kwanza ndo unarudisha fedha, umempa fedha yote kesho akirudi tena akikuambia umpe fedha sababu hamkuvunja mkataba
Kwanini huyo muhindi analazimisha apewe fedha na asivunje mkataba kwanza