Baada ya Bunge la bajeti kuisha Kuna jambo litatokea

TumainiEl hata Mwl Mwakasege katika moja ya mahubiri yake 2023 aliwahi tamka maono ambayo kaoneshwa na Mungu kuwa viongozi wa Tanzania watafanya maamuzi ambayo hayatakuwq mazuri, hivyo akatusihi tusali sana. Naona hakika kuna kitu giza nene. Mungu adumishe Amani ya nchi yetu.
 
Wewe jamaa mzushi sana. Uongo haukusaidii kitu
 
Kwa hiyo hamkusali sana? Acha na manabii wa kupiga pesa hao
 

Sasa hapa mkuu umepoteza maboya! Maana kitu kitatokea kwenye angle gani mkuu? Maana kuna report ya CAG, mambo ni mengi mkuu fungua code kidogo ili kisipotokea kitu tuje tukupopoe
 
Acha tabia za kike taarabu nyingi halafu hazina maana wala ukweli.

Ongea kama mwanaume mwenye nguvu za kiume na siyo kama mvulana.
 
Hawa hawatabiri wala nini. Wanakuwa na clues za hayo mambo na huyasema kwa mafumbo.

Aliyetabiri kifo cha bwanamkubwa alinusa fununu za wapanga mipango.
 
Kwenye semina yake ya mwisho Dar karibia semina nzima alikuwa akihimiza maombi kwa nchi na viongozi wake kwa sababu kuna jambo baya linakuja na watu inabidi kuomba sana kuliombea taifa na viongozi wake wakuu...

Ngoja tuone ...na Mungu Atusaidie 🙏🏿
 
Hapana Mwl Mwakasege siyo nabii. Hata issue ya kufariki Dkt Magufuli alinena kabla kwa kusema yanakuja mabadiliko makubwa sana. Hata hili kuna mabadiliko yatatokea soon, kikubwa tumuombe Mungu watu sahihi washike nafasi za uongozi
"..... Rais 2025 ni Samia, labda mambo yaharibike sana kati ya sasa na wakati huo" Ilisikika sauti ya mwanaume mmoja Tanzania.

Kagame kaalikwa Dar. BT aliridhia?

Kuna wazo la bandari ya nchi kavu bwagamoyo, limetelekezwa na uncle kupewa bandari ya Dar. BT ana maslahi na huo mkataba?

Haya na mengine ndiyo. ".... mambo yakiharibika sana kati ya sasa na wakati huo".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…