Baada ya Bunge la bajeti kuisha Kuna jambo litatokea

Usije kusema ni majaliwa ya Mungu.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Ishukuru JF kwa hizi fake ID, wewe ungekuwa verified member adhabu yako ilikuwa kutatuliwa marinda tu halafu kutoswa baharini huku umefungwa jiwe.
 
Kwani kuna wakati matukio yamewahi kuacha kutokea nchini?
 
Kosa lake nini? Naona kaandika speculation tu kama ambazo wengine huandika sehemu zingine, na uzuri hajasema inahusu nini. Why umtukane?
Si kila unachokisoma humu umeandikiwa wewe, huyu ni shetani wewe ndio hujui, ushetani wake haupo kwenye thread hii, nikipata muda nitakuthibitishia.
 
Kwa picha hii hana maslahi huyu mshika remote?
 

Attachments

  • FB_IMG_1688651214549.jpg
    57.8 KB · Views: 10
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…