Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

Makotena mapya
1. Yale makontena yaliyobeba V8 na Range huliwa na Wakuu wa Idara na Maafisa wa HQ (Halmashauri/Bomani).

2. Yalibeba Verosa na Crown huliwa na MEK, Wakuu wa washule, na Watendaji Kata.

3. Yaliyobeba IST na SWIFT haya huliwa na maafisa wadogo kama walimu, madkatari na wengine.

to yeye Aione kwenye Jalada.

#YNWA
 
Sex sio umalaya, Sex ni ONE of the BASIC NEED.

Mwanamke asipopata mapenzi hata. Kazi haziendi.
Ushawahi kukutana na mwanamke ambae hajasugulia within days?

Bila Sex kazi HAZIWEZI KWENDA.

#YNWA
 
Mada ya leo umeua mbona😉
 
Habari bwana Liverpool VIP

Leo napingana na wewe
Kabisa kwa hoja kwamba

Kuchapiwa ni siri ya ndani

Wazee wazamani walishanena ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani


Na kucheepuka hakujaanza leo

Niwatie malays born msiogope kuoa

Oeni maana ndio kipimo cha akili
Kukomaaa.

Usije sikiliza maneno ya watuu

Leo wazee wetu wasingeoa tusingekuwepo
Hata mr Liverpool VPN
 
Kazi za halmashauri ni za mateso?

Hasaaa.
1. Kila mkuu wa Idara ni bosi wako
2. Kila anayetokea mkoani ni bosi wako
3. Kila anayetokea wizarani ni bosi wako.
4. Mtu akikosea anatafuta wa kumuangushia mzigo ili lawama ziwe zake.
5. Diwani akikuamulia unalo, na anamaamuzi juu yako. Yaani diwani ni kama bosi wako tu.
6. Mnyenyekee sanaa Mwenyekiti wa Halmashauri/Meya
7. Mishahara kidogoooo
8. Mengine utajionea mwenyewe kama wewe ni ajira mpya.

#YNWA
 
Ila wewe mnokoooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu usiwatishe wenzio, wanawake sisi ni waaminifu sanaaa.
Kiukweli jamaa ana point mpaka anakera. Yaani tayari kajipanga kuwapokea, kuwapeleka ghetoni (kwake) walale ili kesho yake waongee na mwenye nyumba awapangishie self hapohapo.
Kisha jamaa yetu atawasindikiza kununua mahitaji......hapa hata kama ni mke ya mtu hesabu ataliwa tu.
 
Lipo Waz Hilo mamadam wanaliwa hivyo pindi wanapoanza kazi.
Kwanza lazima nyumba ya kupanga atatafutiwa na mwanaume maana wao kwa wao hawapendani ,pili kwenda kununua mahitaji madogo madogo lazima ataongozana na njemba tu.
Kiukweli inahitaji roho ya chuma mke wako kutoliwa japo wapo wenye misimamo na hawaliw hata ungefanya nini ingawa ni wawili kwa kumi.

Dawa usiwazie Sana hayo maana ukiwaza tu umekwisha fanya km Hakuna kinachoenda kutokea huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…