Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

Yeraaa yeraaa
 
Sex sio umalaya, Sex ni ONE of the BASIC NEED.

Mwanamke asipopata mapenzi hata. Kazi haziendi.
Ushawahi kukutana na mwanamke ambae hajasugulia within days?

Bila Sex kazi HAZIWEZI KWENDA.

#YNWA
Hiyo kwa wanawake iliisha pale ilipogunduliwa dawa za majira, muulize mwanamke yeyote yule atakwambia anakubali ilimradi tu kulinda mme wake asichepuke lkn genye hana hata kidogo.
 
Halafu unakuta wewe nu Graduate halafu Diwani ni darasa la saba na ndio Boss wako.

Aisee wanasiasa wataenda motoni.
 
Hiyo kwa wanawake iliisha pale ilipogunduliwa dawa za majira, muulize mwanamke yeyote yule atakwambia anakubali ilimradi tu kulinda mme wake asichepuke lkn genye hana hata kidogo.
Kiuhalisia mwanaume hupaswi kuwa na Mke mmoja, ni vile tu uwezo wa kuwatunza Mke zaidi ya mmoja ni tatizo.
 

Kuhama sio simple kama ulivyopataja hapa.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…