kambiyamkaa
Senior Member
- Aug 9, 2020
- 122
- 110
Itachukuliwa na P. MayalaBaada ya Rais Magufuli kumteua Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi yake ya Katibu Itikadi na Uenezi ndani ya CCM ni rasmi sasa uko wazi kwani mheshimiwa Rais alishaweka utaratibu wake kwamba viongozi hawawezi kuvaa kofia mbili katika uongozi.
Taarifa zinazorindima katika magrupu ya wanaccm na UVCCM ikiwemo ni kwamba nafasi hii ya Katibu Uenezi na itikadi unaenda kutwaliwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda.
Nawasilisha
Huyu ni mla rushwa mkubwa akatwe. Ameomba rushwa kwa kila mgombea na mtia nia Morogoro kwanzia maDiwani, wabunge mpk viti maalum.Chaguo langu naliweka kwa KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Mkoa wa Morogoro Shaka Hamdu Shaka na Pascal Mayalla wa JF.
Mhaya anataka abakie na wajinga jinga ili aweze kubomoa pakubwaPolepole ba Bashiru picha haziendi......
Ndio mana CCM tutatawala miaka 100 ijayo.Mhaya anataka abakie na wajinga jinga ili aweze kubomoa pakubwa
Tuliza kidonda kibichiNdio mana ccm tutatawala miaka 100 ijayo
wapenzi wa chadema wanaijadili ccm,na kuionesha njia ya kuelekea pazuri zaidi ya sasa
Utatawaliwa wewe na Utashikishwa adabu wewe. We're in the same boat don't shout brother... Wote tunakinywea Kikombe cha Watawala.Ndio mana CCM tutatawala miaka 100 ijayo
Wapenzi wa CHADEMA wanaijadili CCM,na kuionesha njia ya kuelekea pazuri zaidi ya sasa.