totlo masire
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 868
- 1,398
Bwana alitoa na bwana ametwaa!
Imeisha hio!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana alitoa na bwana ametwaa!
Imeisha hio!!!
Hahahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu unajua kuwa bandari imegaiwa kwa waarabu? Hili lipo ndani ya uwezo wako
Huu ni mwaka wa pilihadi sasa unae muda gani....?
Kivumbi leoKula chuma hicho
Vinakaa pamoja ulaya sio umatumbini huku🤣Vinakaa mbona, kimoja juu kingine chini. Ila vinakuwa pamoja🤣
KomeshaWewe piga poka kwa Mara ya mwisho kwa hasira zote, hata akiolewa Mara moja moja anakuita unajipakulia. Mme wake yupo huko kazini kwake....!!
fanya uamuzi.....Huu ni mwaka wa pili
Weeeh!!! Mbona hata huku vinakaa tu!Vinakaa pamoja ulaya sio umatumbini huku🤣
Huenda nikafanya uamuzi mkuufanya uamuzi.....
Kwani kuolewa sana ndio kigezo cha kutoliwa sana??Umekariri et Kwanza asilimia 99 ukifuatilia harusi nyingi za mjini wanaolewa wengi ni graduates…. Kama sasa hivi ndio wanamalizia malizia mitihani mwezi wa 8 ndoa kama zote
So wewe bado una mawazo ya kizamani kwamba graduates wanaliwa sana
Kuliwa ni kuliwa tu haijalishi nini…
ni mpira ila kuna stage mpira ukichoka sana unakatika.Unataka mke mwema wewe ni mme mwema
Mungu huwa hakosei chochote upandacho ndio utavuna uzuri wa hizi sehemu huwa haziongeii kwamba zimeliwa na wangapii….. ukijua tu kuwa uke ni mpira utatulizanaa
Hamnaga hiyo kitu mkuu, yaani ukizini na wadada wengi na ukawasissapoint wengi na wewe mkeo atakusumbua?? Hii nadharia mmeitoa wapi??Hutaoa mkuu..au la usizini kabisaa yani usitembee na wadada wa watu ambao huna mpango nao..then sali Mungu atakupa mke mzuri kabisaa..brand new...