Baada ya jina lake kutoka kwenye Mkeka wa Afya ataka nisubiri miaka 5 ndio niweze kumuoa

Baada ya jina lake kutoka kwenye Mkeka wa Afya ataka nisubiri miaka 5 ndio niweze kumuoa

Wewe piga poka kwa Mara ya mwisho kwa hasira zote, hata akiolewa Mara moja moja anakuita unajipakulia. Mme wake yupo huko kazini kwake....!!
 
Umekariri et Kwanza asilimia 99 ukifuatilia harusi nyingi za mjini wanaolewa wengi ni graduates…. Kama sasa hivi ndio wanamalizia malizia mitihani mwezi wa 8 ndoa kama zote

So wewe bado una mawazo ya kizamani kwamba graduates wanaliwa sana

Kuliwa ni kuliwa tu haijalishi nini…
Kwani kuolewa sana ndio kigezo cha kutoliwa sana??
Sio mawazo ya kizamani huo ndo ukweli mkuu, wanaliwa mno hawa wanachuo.

Dem anaweza kua hata na ex 5 ndani ya hiyo miaka 3. Mpaka hapo anakua ni bingwa wa uongo, bingwa wa kupretend kwanini asiolewe mtu kama huyo.

Imagine hayo mahusiano 5 yote analala kwa hao wahuni wanambandua tu, ukioa mtu ka huyo unakua umeolea kijiji.
 
Unataka mke mwema wewe ni mme mwema

Mungu huwa hakosei chochote upandacho ndio utavuna uzuri wa hizi sehemu huwa haziongeii kwamba zimeliwa na wangapii….. ukijua tu kuwa uke ni mpira utatulizanaa
ni mpira ila kuna stage mpira ukichoka sana unakatika.

Alokwambia wema huoana kwa wema na wabaya kwa wabaya ni nani??

Hata mbaya anataka mwema pia na anapata. Ubanduliwe chuoni huko uje ulete magonjwa kutoka kwa maex zako.

Na ubaya ni kua hawaachani na maex zao tatizo ndo liko hapo.

Oa manzi bikra safi kabisa kitu piruuu kimemaliza zake 4 hakina mambo mengi.
 
Hutaoa mkuu..au la usizini kabisaa yani usitembee na wadada wa watu ambao huna mpango nao..then sali Mungu atakupa mke mzuri kabisaa..brand new...
Hamnaga hiyo kitu mkuu, yaani ukizini na wadada wengi na ukawasissapoint wengi na wewe mkeo atakusumbua?? Hii nadharia mmeitoa wapi??

Kwahiyo huyo malaya wa huko ambiance kisa umalaya wake na kuliza wanaume wengi basi ataolewa na mume mbovu tabia??

Hiyo nadharia haipo na ufute kabisa.
 
Back
Top Bottom