Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee, kumbe mnatafuta unafuu wa maisha kwa mwanaume ila mkipata maendeleo kidogo ndio mnaanza kuweka visilani na mambo ya muda hivi. Hadi kutishiana kuwa unacheleshwa. Basi, tuweke conclusion kuwa, kamwe mwanaume asioe mwanamke asie na kipato mpaka awe nacho maana hajui safari yake bado na huweka ahadi au malengo ya uongo. Nimejifunza mengi hapa na lililo bora ni kuwa mahusiano au ndoa ni ajira kwa mwamamke. Narudia tena hamjitambui! Za asubuhi dada mkubwa.Mwambie ukweli kuwa huwez kumsubir usije kumchelewesha mwenzio na muolewaji aseme miaka 5 yote ya nn mnachelewesha watoto shule tu
Onyesha vitendo mkuu alafu tafuta connection muhamishe ulipo mbona rahisi sana ww ndo umuendeshe sio ww akuendeshe.Mpango hapa ni kuleta tu maombi ya kutafuta mke mwingne humu ndani.
Habari ya kusubiri miaka 5 na mtu katupiwa Kagera huko ni uongo.
View attachment 2648377
Hiyo kazi ndiyo ilimpa unafuu huyo mwanamke na kumhudumia kwa vitu kadhaa. Huyo mdada kupata ajira tamisemi ni bahati tu ambayo kupata kwake ingemuangukia yeyote, acheni kudharau vipato vya watu.Ulikosea sana kusubiria mwanamke miaka 5 bila kutia mimba hata mbili?
Sasa hivi angekuwa na watoto wako,heshima ingekuwepo hata kama angeenda Brazil.
Vijana mnakwama wapi au uoga wa maisha unamwacha mwanamke unayempenda kisa anaenda kufanya kazi mbali nawe ya laki tatu/nne kwa mwezi?? Serious!!
Uko sahihi mkuuHiyo kazi ndiyo ilimpa unafuu huyo mwanamke na kumhudumia kwa vitu kadhaa. Huyo mdada kupata ajira tamisemi ni bahati tu ambayo kupata kwake ingemuangukia yeyote, acheni kudharau vipato vya watu.
Upuuzi mtupu. Kama hakukujali unamjali nini? Kwani wewe kazi yako kufunda au kuoa na kuanza maisha mwanangu?Mpango hapa ni kuleta tu maombi ya kutafuta mke mwingne humu ndani.
Habari ya kusubiri miaka 5 na mtu katupiwa Kagera huko ni uongo.
View attachment 2648377
mwambie akusamehe pia ili uoe tuMpango hapa ni kuleta tu maombi ya kutafuta mke mwingne humu ndani.
Habari ya kusubiri miaka 5 na mtu katupiwa Kagera huko ni uongo.
View attachment 2648377
Tena bila kujijuaKwhyo mi nilikuwa kungwi sio!
HahahTena bila kujijua
Hili Jambo limenikalia kushto
Nimekupata mkuuUpuuzi mtupu. Kama hakukujali unamjali nini? Kwani wewe kazi yako kufunda au kuoa na kuanza maisha mwanangu?
Hapa nimekubaliana na ww ila changamoto ni hii kusubir thn mwsho wa siku anakuja kuolewa inakata hiiLakini wakati unasubiri si mtaendelea kunani hii eeh? Kama ndiyo Sasa kinachokushinda kusubiri ni Nini?,msubiri
SEMA unaeza subiri afu bdae ukajaskia kaolewa na dokta mwenzie hapo ndo mbaaya japo hutakiwi kuwa na mawazo hasi
Huyo ulitakiwa umtie mimba kabla ya ajiraTahadhari imeshachukuliwa
Mi la saba c mkuu sana sana nilimuambia hvyo atajua nimepta kazi ya uvuvi kwenye botiNaww mwambie jina lako limetoka B.O.T atarud tu
Kwani mnajikutaga kina nani sasa😂😂mpk madhambi yote hayo🥚Ndo kawaida hiyo 😆
Basi tuu hatuna loloteKwani mnajikutaga kina nani sasa😂😂mpk madhambi yote hayo🥚