Baada ya jina lake kutoka kwenye Mkeka wa Afya ataka nisubiri miaka 5 ndio niweze kumuoa

Baada ya jina lake kutoka kwenye Mkeka wa Afya ataka nisubiri miaka 5 ndio niweze kumuoa

Hawa viumbe ni hatari sana. Nje ni kama kondoo ila ndani ni mbwa mwitu. Miaka 5 unamvumilia mtu kweli? Huyo mwanamke hana mpango na jamaa na huo muda kama anatafuta mtu, akikosa ndiyo atarudi kwa jamaa.
Hahahah Maisha kama karata unaookosea kuzichanga tu basi Maisha lazima yskurudie😂
 
Back
Top Bottom