Waaminifu bado tupo wewe 🤣🤣🤣Nimtie moyo wakati najua kabla mwezi haujaisha hata simu yake kupokelewa itakuwa kipengele 🤣🤣🤣
Ni kweli mpo kwenye vitabu vya historia 🤣Waaminifu bado tupo wewe 🤣🤣🤣
Usikufe moyo mwaya, huyo ni wako peke yako.Wanaua sana
MawazoNi usiku lakini kwa mwenzetu ndio kumekucha
Tupo bado hatujaandikwa, ndio tutaandikwa.Ni kweli mpo kwenye vitabu vya historia 🤣
Yah inawezekana lkn binafsi nishakuwa na maamuzi mengineUsikufe moyo mwaya, huyo ni wako peke yako.
Hahahahah unaniona mie wa chekechea sio 🤣Tupo bado hatujaandikwa, ndio tutaandikwa.
Nimesoma vibaya au 😂Usikufe moyo mwaya, huyo ni wako peke yako.
Maamuzi gani 😳😳😳Yah inawezekana lkn binafsi nishakuwa na maamuzi mengine
Akili zenu zinahama na upepo. 🤣Hata mm nilivyoenda chuo ndo ikawa byebye nikapata mume huko huko chuo...
So hapo hakuna kitu...
Dah tatzo mudaMaamuzi gani 😳😳😳
Hebu tulia kijana, huyo ndio mkeo.
Hata wangu alivyoenda chuo wiki ya pili tu nikapigwa na kitu kizito.Hata mm nilivyoenda chuo ndo ikawa byebye nikapata mume huko huko chuo...
So hapo hakuna kitu...
🤣🤣🤣🤣 Tatizo wewe jambazi, hivyo unakutana na majambazi tupu. Ona sasa wamekuharibu kijana wa watu!!Hahahahah unaniona mie wa chekechea sio 🤣
Muda wa nini?Dah tatzo muda
Yah hii huenda ndio bye byeHata mm nilivyoenda chuo ndo ikawa byebye nikapata mume huko huko chuo...
So hapo hakuna kitu...
We si umeshindikana🤣🤣🤣Hata mm nilivyoenda chuo ndo ikawa byebye nikapata mume huko huko chuo...
So hapo hakuna kitu...