Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Huyu jambazi bwana!Umeona kama ame let it go easily...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jambazi bwana!Umeona kama ame let it go easily...
Na hii ndio htar yenyeweHapo sasa..ila bora kwny ndoa una uhakika huyo ni wako ataenda atarudi sasa hivi vya uchumba hujui mwenzio akienda kama atarudi alivyoenda au watarudi wawili..
Kwahiyo umepata kisingizio🙆🙆🙆Uko sahihi nilikuwa nasikilizia tu mkeka ungemsoma wp
Alishayaona mengi...hahaha duuhHiyo n kawaida ya maisha ya chuo na ndio yalinibadilisha from nice guy to hivi nilivyo sasa, waaminifu ni wachache mno.
Kuna siku dada yangu aliniambia yote kuwa huyu akifika chuo si wako, nilibisha Sana nikamuona sister ananchanganyia mafile ila yalivyonikuta nilinyooka sister akawa ananicheka tu 😂
Sababu ziko wazi tu ukileta mapenzi hpa ukija kushtuka to letUmeona kama ame let it go easily...
Inawezekana nayeye alishampiga mtu na kitu kizito 😂😂Alishayaona mengi...hahaha duuh
Sitaki utani kusubiri Azam marine mbezi sio kweliKwahiyo umepata kisingizio🙆🙆🙆
Labda kwa kurogwa mkuuWe endelea kusubiri ndege feli mwananangu utauponza😆
Ndo kawaida hiyo 😆Inawezekana nayeye alishampiga mtu na kitu kizito 😂😂
Roger!Bukoba tower, this is headquarter responding, please stand down wait for the backup, i repeat!! do not engage!!!
Kumbe ndio uhalisiaNdo kawaida hiyo 😆
Kwer mwananguLabda kwa kurogwa mkuu
Dah mkuu ndio unaniondoa relini kabisa_JAMAA ATAKAYEMKUTA
"madam leo niko bored tutoke bas out"
"madam sijui kupika njoo bas unisaidie "
"madam leo sijakuona kazini naskia unaumwa,ntapita kwako kukusalimia"
"madam twende gym"
"madam kuna zawadi yako hope utaipenda"
_WEWE HAPO
baby usiku mwema naomba usinicheat huko ulipo,nakupenda sana MWAAAAA
LIFE__
hahahahahaaa
Umenikumbusha demu wangu muccobs na yy alipotea kama wewe hivi tu....sina hamuHata mm nilivyoenda chuo ndo ikawa byebye nikapata mume huko huko chuo...
So hapo hakuna kitu...
Life is full of uncertaintiesUmenikumbusha demu wangu muccobs na yy alipotea kama wewe hivi tu....sina hamu