mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Ila mnatuumiza sisi tulioweka malengo kwenu .ile hali imeniathiri miaka kibao...nilimpenda toka ndani ya moyo wangu....mpaka kwao walishanijuaa ila niliambulia manyoya tu....Popote ulipo A Mungu anakuona...me nakuombea maisha mema tuLife is full of uncertainties