Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhImeishaaaa hiyoo.
We utakuwa mwalimu , haya madarasa ya course za walimu yanaongoza Kwa ulimbukeni chuoni na mimba... Wanaoana balaa chuo mpak mtaaniYani chuo ni another life aisee...kuna wadada tumeanza first yr hawavai suruali yani ile skirt ndefu..mwaka wa pili duuu duu...sio wale wa sitimbi tena..na mimba juu wakazaa tukamaliza nao mwaka 3 vzr...so chuo mhhh probability ya kuwa mchumba yuko chuo umsubiri ni ndogo..darasa letu liliongoza kwa kuoana baada ya kumaliza..
Tatizo tayariAisee
Umeona eeh hawajui km wantenganisha watu hukuEeh so sad
Hizi ajira dah
Tunaomba basi , kutupiwa mbali si mchezo.
Hawajui kabisaUmeona eeh hawajui km wantenganisha watu huku
Kumbe ushenzi umeuanza zamani, hivi umesoma chuo gani cha uhazili au utalii college?Hata mm nilivyoenda chuo ndo ikawa byebye nikapata mume huko huko chuo...
So hapo hakuna kitu...
Cha bibi yako cha ulozi au unaweza kukiita ushenzi college..Kumbe ushenzi umeuanza zamani, hivi umesoma chuo gani cha uhazili au utalii college?
Ghafla nikakumbuka tu ile taarifa ya nesi kule mikoa ya kusini kuuawa na mpenzi wakeMpango hapa ni kuleta tu maombi ya kutafuta mke mwingne humu ndani.
Habari ya kusubiri miaka 5 na mtu katupiwa Kagera huko ni uongo.
View attachment 2648377
SawaMpango hapa ni kuleta tu maombi ya kutafuta mke mwingne humu ndani.
Habari ya kusubiri miaka 5 na mtu katupiwa Kagera huko ni uongo.
View attachment 2648377
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Bukoba tower, this is headquarter responding, please stand down wait for the backup, i repeat!! do not engage!!!
Umemwambia lakini?Sitaki utani kusubiri Azam marine mbezi sio kweli