Baada ya jina lake kutoka kwenye Mkeka wa Afya ataka nisubiri miaka 5 ndio niweze kumuoa

Baada ya jina lake kutoka kwenye Mkeka wa Afya ataka nisubiri miaka 5 ndio niweze kumuoa

all women are like that there is always a room for their mistakes and fuckups in a relation but a man youre not suppose to screw up or mistakes or honest JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala up,Once you did they're off the wagon with no second chance for a man.My advice look for your life and yours only.Cause if you listen and care for women needs and excuses they will drag you down, JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala up your life while they hit an ejection sit button.BE AS MEAN AS SNAKE WHEN COMES TO YOUR FUTURE AND WOMEN EXCUSES.
Umefunga uzi mkuu
 
Hivi Mkuu unajua makosa unayo yeye na sio wewe,sijui kwa nini unaanza kumulaumu yeye??
1.ulifanya uchaguzi pasipo kuangalia hali halisi ya kipato chako-ulijua fika huna kipato cha kufanya asi opt kutotafuta kazi but still ukaamua kuendelea kuwa naye na ukimtegemea kwa future.

Ilitakiwa utafute mwanamke atakayeendana na mazingira yako ya kiuchumi,na laiti kama ungekuwa na pesa umufungulie biashara aingize kipato anachokitegemea katika kazi
Uko sahihi lkn ndio imeshatokea
 
Back
Top Bottom