Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida mti ukikatika tunapanda mwinge kutunza mazingirambinu ulizomfundisha wacha sasa akatumie na wengine. inshort nina jamaa zangu kama watatu hivi waliangaika-ga na hizi pisi before and after chuo walikuja kulia kilio kizito
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwhyo mi nilikuwa kungwi sio!Ulimwandalia mke mwanaume mwenzio
Wizara ya afyaJapo hayanihusu, ila naomba kuuliza. Huyu shemeji yetu ameajiriwa na jeshi letu hili la JWTZ?
Nimeshajiandaaasa kagera pna umbali gan? angeenda U.S.A sawa utasema watajigongea
[emoji23]Kwhyo mi nilikuwa kungwi sio!
NenoKama unampenda kidhati sio issue ni issue ya kujipanga, mpige mimba za mfululizo
Hatari Sana mkuuhahhhahh mmh atari jmn POLEE yake kiongoz
Hakikakweli mapenzi upofu
DuhGhafla nikakumbuka tu ile taarifa ya nesi kule mikoa ya kusini kuuawa na mpenzi wake
Mpka kutuma msg ya kunijaza hv nilimuambia hili na kumpa go ahead ya yy kundelea na maisha mengneUmemwambia lakini?
Nimeshazungumza naeSasa boss kwenye sms umemjibu sawa, ila tatizo lake unalileta huku na majibu tofauti. Mwambie wazi tu mahusiano yamekufa, asije akatubania watu wa kagera akidhani ana mchumba..
View attachment 2648833
Tumeshazungumza hili na nimempa go ahead ju ya maisha yakeMwambie ukweli kuwa huwez kumsubir usije kumchelewesha mwenzio na muolewaji aseme miaka 5 yote ya nn mnachelewesha watoto shule tu
Umefunga uzi mkuuall women are like that there is always a room for their mistakes and fuckups in a relation but a man youre not suppose to screw up or mistakes or honest JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala up,Once you did they're off the wagon with no second chance for a man.My advice look for your life and yours only.Cause if you listen and care for women needs and excuses they will drag you down, JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala up your life while they hit an ejection sit button.BE AS MEAN AS SNAKE WHEN COMES TO YOUR FUTURE AND WOMEN EXCUSES.
Noma sanaUkiskia paaaaa...!
Limepita hiliMkuu tafuta mti mwingine, jenga kiota. Using'ang'ane na mti ambao umeshakatwa
HahahVita umevipiga ila mwendo umekatishwa na mkeka wa afya. Pole sana.
Mama jeni bye byeKwa nilichokiona kwa jirani yangu, hapo sema,'mama Jeni bai bai'...
Wakati mwingne zilizoozaMvumilivu hula maumivu
Uko sahihi lkn ndio imeshatokeaHivi Mkuu unajua makosa unayo yeye na sio wewe,sijui kwa nini unaanza kumulaumu yeye??
1.ulifanya uchaguzi pasipo kuangalia hali halisi ya kipato chako-ulijua fika huna kipato cha kufanya asi opt kutotafuta kazi but still ukaamua kuendelea kuwa naye na ukimtegemea kwa future.
Ilitakiwa utafute mwanamke atakayeendana na mazingira yako ya kiuchumi,na laiti kama ungekuwa na pesa umufungulie biashara aingize kipato anachokitegemea katika kazi