Baada ya jina lake kutoka kwenye Mkeka wa Afya ataka nisubiri miaka 5 ndio niweze kumuoa

Baada ya jina lake kutoka kwenye Mkeka wa Afya ataka nisubiri miaka 5 ndio niweze kumuoa

"Bukoba tower, i declare emergency. We gotta fire on board, i repeat we gotta fire onboard."
May Day May Day May Day, this is flight PW490, 74 Souls on board ....

Flight PW 490, whats ur emergency

Fire on board, Avionics and hydrolics are unresponsive, we request emergency landing.

Affirmative

PW490 do you read me?

PW490 do you read me?

Do you read me

T T T T T T

All parts, we lost contact with PW 490, location unknown
 
Mpango hapa ni kuleta tu maombi ya kutafuta mke mwingne humu ndani.

Habari ya kusubiri miaka 5 na mtu katupiwa Kagera huko ni uongo.

View attachment 2648377
all women are like that there is always a room for their mistakes and fuckups in a relation but a man youre not suppose to screw up or mistakes or honest https://jamii.app/JFUserGuide up,Once you did they're off the wagon with no second chance for a man.My advice look for your life and yours only.Cause if you listen and care for women needs and excuses they will drag you down, https://jamii.app/JFUserGuide up your life while they hit an ejection sit button.BE AS MEAN AS SNAKE WHEN COMES TO YOUR FUTURE AND WOMEN EXCUSES.
 
Huyu binti alikuwa na sifa moja sio nzuri jpo kwa upande wake imemsaidia kifupi ni binti ambaye akili yake muda wote inawaza pesa na mapenzi kwke yanakuja km ziada tu so toka nianze kuwa na mahusiano nae nilitumia muda mwingi kumuelekeza namna mwanamke anavyotakiwa kubehave kw mwanaume na hapo hpo ithiathiri utafutaji wake na mafunzo haya nilikuwa nampa kutokana na misingi ya Imani zetu
Ulimwandalia mke mwanaume mwenzio
 
Huyu binti alikuwa na sifa moja sio nzuri jpo kwa upande wake imemsaidia kifupi ni binti ambaye akili yake muda wote inawaza pesa na mapenzi kwke yanakuja km ziada tu so toka nianze kuwa na mahusiano nae nilitumia muda mwingi kumuelekeza namna mwanamke anavyotakiwa kubehave kw mwanaume na hapo hpo ithiathiri utafutaji wake na mafunzo haya nilikuwa nampa kutokana na misingi ya Imani zetu
mbinu ulizomfundisha wacha sasa akatumie na wengine. inshort nina jamaa zangu kama watatu hivi waliangaika-ga na hizi pisi before and after chuo walikuja kulia kilio kizito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Mkuu unajua makosa unayo yeye na sio wewe,sijui kwa nini unaanza kumulaumu yeye??
1.ulifanya uchaguzi pasipo kuangalia hali halisi ya kipato chako-ulijua fika huna kipato cha kufanya asi opt kutotafuta kazi but still ukaamua kuendelea kuwa naye na ukimtegemea kwa future.

Ilitakiwa utafute mwanamke atakayeendana na mazingira yako ya kiuchumi,na laiti kama ungekuwa na pesa umufungulie biashara aingize kipato anachokitegemea katika kazi
 
Usidhubutu kufanya huo ujinga , fimbo ya mbali haiui nyoka mzee wangu. Utakuja kuli kilio cha mbwa koko , kwanza akienda mbali baada ya mda mawasiliano yatapungua na mawasiliano yakipungua mapenz yanapungua pia. Atakutana na bora zaidi yako, anaemsemesha vizuri, kumjali ..baada ya hapo unategemea nn?
 
Back
Top Bottom