Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahah najua wewe sio jambazi🤣 hebu nifanye niamini basi mama la mama.🤣🤣🤣🤣 Tatizo wewe jambazi, hivyo unakutana na majambazi tupu. Ona sasa wamekuharibu kijana wa watu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah najua wewe sio jambazi🤣 hebu nifanye niamini basi mama la mama.🤣🤣🤣🤣 Tatizo wewe jambazi, hivyo unakutana na majambazi tupu. Ona sasa wamekuharibu kijana wa watu!!
Nahitaj kuoa haraka iwezekanavyo na niwe karibu na Mali ynguMuda wa nini?
Huu utaratibuUwe makini mkuu ukae mguu mmoja njee mwingine ndani.
Ni vizuri Kama umeweza kuona ukweli itakusaidia kujiepusha na stress kwa sababu utajiandaa kisaikolojia.Huu utaratibu
Yani chuo ni another life aisee...kuna wadada tumeanza first yr hawavai suruali yani ile skirt ndefu..mwaka wa pili duuu duu...sio wale wa sitimbi tena..na mimba juu wakazaa tukamaliza nao mwaka 3 vzr...so chuo mhhh probability ya kuwa mchumba yuko chuo umsubiri ni ndogo..darasa letu liliongoza kwa kuoana baada ya kumaliza..Hata wangu alivyoenda chuo wiki ya pili tu nikapigwa na kitu kizito.
Uko sahihi mkuuNi vizuri Kama umeweza kuona ukweli itakusaidia kujiepusha na stress kwa sababu utajiandaa kisaikolojia.
Sikupingi...Akili zenu zinahama na upepo. 🤣
Aaah kumbe hata wewe jambazi🤣🤣Nahitaj kuoa haraka iwezekanavyo na niwe karibu na Mali yngu
Mambo ya bond yani ni covalent bond mpk maisha..Aaah mambo ya chuo magumu sana. Bora tulioyaanzia huko🙈🙈🙈
Ni kuishi kwa tahadhari tuAaah kumbe hata wewe jambazi🤣🤣
Wanandoa tu yanawashinda, sembuse gf na bf🙆🙆Mambo ya bond yani ni covalent bond mpk maisha..
Hamna bwana, wewe unaonekana ulikuwa tayari na alternative.Ni kuishi kwa tahadhari tu
Ngumu sana hii kituWanandoa tu yanawashinda, sembuse gf na bf🙆🙆
Hapo sasa..ila bora kwny ndoa una uhakika huyo ni wako ataenda atarudi sasa hivi vya uchumba hujui mwenzio akienda kama atarudi alivyoenda au watarudi wawili..Wanandoa tu yanawashinda, sembuse gf na bf🙆🙆
Umeona kama ame let it go easily...Hamna bwana, wewe unaonekana ulikuwa tayari na alternative.
Hiyo n kawaida ya maisha ya chuo na ndio yalinibadilisha from nice guy to hivi nilivyo sasa, waaminifu ni wachache mno.Yani chuo ni another life aisee...kuna wadada tumeanza first yr hawavai suruali yani ile skirt ndefu..mwaka wa pili duuu duu...sio wale wa sitimbi tena..na mimba juu wakazaa tukamaliza nao mwaka 3 vzr...so chuo mhhh probability ya kuwa mchumba yuko chuo umsubiri ni ndogo..darasa letu liliongoza kwa kuoana baada ya kumaliza..
Uko sahihi nilikuwa nasikilizia tu mkeka ungemsoma wpHamna bwana, wewe unaonekana ulikuwa tayari na alternative.