Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Awamwezi huyu. Hata Mwendazake alisema ana msimamo hatariBashiru anavutiwa muda tu, tusubiri tuone.
Lakini kiukweli si Rais Anaupiga mwingi kweli au?Wana-CCM kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.
Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.
Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.
Je, hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wapambe wanasifia hadi boss kachukia [emoji23]
Nadhani wewe ndio mpumbavu,una hakika Hakuna alichofanya?Kiuhalisia mimi sijaona chochote cha ziada alichokifanya huyu bibi tokea awe Rais kinachopelekea baadhi ya wapumbavu kusema; eti, "anaupiga mwingi".
Ukweli ni kwamba huyu bibi ni Rais dhaifu kabisa kuwahi kutokea katika taifa hili.
Machawa wamelamba mataq0 hadi imekuwa kero.Wapambe wanasifia hadi boss kachukia 😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lucas mwashambwa na The Sunk Cost Fallacy 2 mmesikia, mama kashtuka huko, mnamjaza tu. Acheni shobo
Rais kama rais anaupiga mwingi upi?Lakini kiukweli si Rais Anaupiga mwingi kweli au?
Mnafiki hana aibu.Je, hii aibu wanaibebaje hao wanafiki?
Hayo majina kwanza yanavyosound ni hatari sanaLucas mwashambwa na The Sunk Cost Fallacy 2 mmesikia, mama kashtuka huko, mnamjaza tu. Acheni shobo
Serikali yake inafanya majukumu ya kiserikali ya kawaida, sasa ukisema Samia anaupiga mwingi ndio hapo wengine wanajiuliza kipi cha ziada anachofanya Samia chenye kufanya mseme anaupiga mwingi?Nadhani wewe ndio mpumbavu,una hakika Hakuna alichofanya?
Wapi Lucas Mwashambwa?????Kumezuka kundi la watu kazi yao kubwa ni kumsifia Rais Samia hata pasipostahili, kundi hili kwa lugha sahihi ni machawa. Machawa hawa wapo kwa ajili ya kuishi kwa ujanja ujanja wa kumsifia Rais hata pasipostahili mpaka inakuwa kero kwa mhusika.
Kauli mbiu yao ni “Mama anaupiga mwingi." Juzi wakati wa ufunguzi wa mkutano wa UWT taifa Rais Samia kachukizwa na sifa hizo hivyo, kwa taarifa yenu mama hataki!
Watanzania tunatakiwa kumpongeza Rais na siyo kumsifu siku zote, sifa na utukufu hupewa Mungu na siyo binadamu. Machawa wamekuwa wanampa sifa Rais za kinafiki na ndiyo maana Mama hataki sifa zenu.
Hongera sana Rais Samia kwa kuchukizwa na sifa za kinafiki, kumbuka hao hao wanaojifanya kukusifu ndiyo hao hao kesho watakusema vibaya, machawa ni wanafiki sana.
View attachment 2430489
Usibishane na hawa watu! Make utadhani Kuna serikali mbili ziko madarakani au kuna nchi mbili zinashindana! Hawa sio watu Ni mediocreSerikali yake inafanya majukumu ya kiserikali ya kawaida, sasa ukisema Samia anaupiga mwingi ndio hapo wengine wanajiuliza kipo cha ziada anachofanya Samia chenye kufanya mseme anaupiga mwingi?
Kuna sifa mtu unapewa mpaka aibu unaona wewe. Kuna levels flani za ulambaji miguu zinatia kinyaaWapambe wanasifia hadi boss kachukia 😂