Bora chance awekwe mbowe.Hao wote ulipwataja hapo hawafai ni utopolo
Tena chini ya mekoMsameheni bure. Kazi yake ya Uwaziri Mkuu ni ngumu
Kwani Mama Samia alisemaje mchana halafu usiku akatangaza Nini kula Tanga?Unamzungumzia Majaliwa yupi?Huyuhuyu aliedanganya Taifa kuwa Rais ni mzima wa afya na anachapa kazi au unamzungumzia Majaliwa mwingine ambae mimi simjui?
Sawa, subiri Lissu awe VP maana hajaharibiwa na meko.Zote hizo ni taka taka. Meko alishaziharibu
Ameahindwa kuongoza saccos aongoze nchi? Utani huuBora chance awekwe mbowe
Nalia na wazalendo wengine iyo tunu yetu na urisi wetu. Tunataka mwenge uwashwe usizimwe.hata kama kutakua na mipango ya kuufanya usitumie hela ila uwashwe tu.hio ndio tunataka usizimwe.Watanzania hawaogopi mioto maana hata mwenge ni moto lakini watu wanaubebea kwa kichwa
Wakati ule alisema atakuwa waziri mkuu ndani ya masaa 72, nafikiri bado unaamini Yale maneno.Bora chance awekwe mbowe
Kwani unateua wewe?Majaliwa hafai. Tumsahau kabisa. Lukuvi sawa, anakubalika.
Katili ni MatelefoneNawaza tu hapa nikiwa Lindoni, natafakari ikiwa Mheshimiwa Samia Suluhu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ataamua kumteua Kassim Majaliwa mbunge na Waziri Mkuu kuwa Makamu wa Rais na William Lukuvi kuwa Waziri Mkuu, tutapata combination ngumu yenye speed ya ajabu.
Watumishi ambao watendaji wazembe watasema bora Magufuli alikuwa na huruma.
Am sorryMaccm inapofika suala mararaka huwa hayana akili kabisaaa yanaweza kufanya kituko cha kuleta ibilisi mwingine hivihivi au kumzidi .
Kadhi Mkuu kwanza nakupongeza sana kwa kutumia picha ya Mh.Rais Samia Suluhu Hassan katika avatar yako japo Mh.amevaa nyekundu halafu anaangalia kushoto ila kuanzia leo nakushauri ubadili ID yako pia kutoka Kadhi Mkuu 1 na kuwa "Suluhu baada ya Pombe 1".Kuhusu ishu ya kukomaa na Majaliwa ni kwamba nakomaa na Majaliwa kwa sababu huu uzi unamuhusu Majaliwa peke yake.Kwani Mama Samia alisemaje mchana halafu usiku akatangaza Nini kula Tanga?
Mbona humsemi unakomaa na majaliwa tu?
Uzuri wa jf HAKUNA maoni ya aina moja.Kadhi Mkuu kwanza nakupongeza sana kwa kutumia picha ya Mh.Rais Samia Suluhu Hassan katika avatar yako japo Mh.amevaa nyekundu halafu anaangalia kushoto ila kuanzia leo nakushauri ubadili ID yako pia kutoka Kadhi Mkuu 1 na kuwa "Suluhu baada ya Pombe 1".Kuhusu ishu ya kukomaa na Majaliwa ni kwamba nakomaa na Majaliwa kwa sababu huu uzi unamuhusu Majaliwa peke yake.
Majaliwa hafai kwa Nani, na lukuvi anakubalika kwa akina nani? Kuna watu mmejipa mamlaka ya kuwasemea watu woteMajaliwa hafai. Tumsahau kabisa. Lukuvi sawa, anakubalika.