ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Sijui niseme akili yako fupi!!Mama yetu tunakusihi, umpendekeze mwanamke atakayekusaidia katika kazi za Urais. Kufanya hivyo utaiheshimisha Tanzania na pia utaepuka makundi ya wanamtandao.Chukua toka seta binafsi ili upate msaidizi mtendaji asiye mwanasiasa. Tunahitaji kumaliza miradi ya kimkakati mapema na kuanzisha mpya. Hawa wanasiasa ukiwateua watendeleza siasa za kutafuta Urais 2030 na watatuchelewesha Tunakuamini mama yetu
Mama yetu tunakusihi, umpendekeze mwanamke atakayekusaidia katika kazi za Urais. Kufanya hivyo utaiheshimisha Tanzania na pia utaepuka makundi ya wanamtandao.Chukua toka seta binafsi ili upate msaidizi mtendaji asiye mwanasiasa. Tunahitaji kumaliza miradi ya kimkakati mapema na kuanzisha mpya. Hawa wanasiasa ukiwateua watendeleza siasa za kutafuta Urais 2030 na watatuchelewesha Tunakuamini mama yetu
Japokuwa Mimi ni mwanaume mwenye maumbile ya kiume naunga mkono hoja Mh.rais SSH abandike makamu mwanamke pale, wanaume watamchelewesha hasa Vita ya urais 2025
Mkuu kwani ni vipi kama yeye ndo first born na anategemewa??😂😂😂Mleta mada niwewe pekee wanaekutegemea kwenu au Kuna wengine?
Kama hutaki Makamu wa Rais mwanaume, basi umshauri pia atunge sheria ya kuwaondoa wanaume wote nchini! Ili Tanzania iwe ni Nchi ya Wanawake tu. 🙄Mama yetu tunakusihi, umpendekeze mwanamke atakayekusaidia katika kazi za Urais. Kufanya hivyo utaiheshimisha Tanzania na pia utaepuka makundi ya wanamtandao.Chukua toka seta binafsi ili upate msaidizi mtendaji asiye mwanasiasa. Tunahitaji kumaliza miradi ya kimkakati mapema na kuanzisha mpya. Hawa wanasiasa ukiwateua watendeleza siasa za kutafuta Urais 2030 na watatuchelewesha Tunakuamini mama yetu
Mpaka spika, jaji mkuu na mkuu wa majeshi weka wanawake.....!Weka makamu mwanamke na waziri mkuu mwanamke tuwe na sare sare maua!
Acha kupotosha.taratibu za nchi ni kuwa makamo wa nchi lazima atokee kwenye chama tawala.
chama ndio kitampa majina.
sijui chagua sekta binafs.. sijui nn.. hmna hiyo.
HapanaNdo yule aliyeharibu mashamba ya Mbowe?
Tunaanza upya!Halafu hiyo wizara imfae nani?.
Unasema yule Kalamagi wa kwenye sakata la kutembea na mihuri mfukoni mpaka kuuza mgodi wa Buzwagi akiwa hotelini kule Ulaya.
Ama unasema Kalamagi wa kwenye sakata la Richmond?
Huyo ni mnafiki hasa. Wala hata usimfikirie.Nadhani alimaanisha Kalemani
Rais anamteua VP. Kisha analipeleka jina kwenye chama chake. Na siyo kinyume chake.Tumezika jana, CCM juma hili watakaa na kupendeza jina kwa Mama.
Kalamagi yupi?,aliesaini mikataba na mabeberu hotelini?hacha utani weweBinafsi namkubli sana Kalamagi yule wa Nishati kwani anakasi ya kiutendaji na hana longo longo
man i dont care about jakaya. oh his issues.. atajua mwenyewe na mambo yake.Acha kupotosha.
Atashauriana na Chama Chake... anaweza kuwa na jina lake akalipendekeza kikaoni.
Rais au mgombea halazimishwi kuchukua yeyote kwa kuwa makamo wake.
Alichokiongea juzi Jakaya ni pure uongo kwa sababu ana mpango wake anaupambania
Umeme unakata kila siku unamkubal kwa kipiBinafsi namkubli sana Kalamagi yule wa Nishati kwani anakasi ya kiutendaji na hana longo longo