Majina ambayo nakuomba ukiletewa tu uteue wa Kukurithi tafadhali yachane upesi na ukiweza Mzabe hata Kofi au mpige Kichwa cha Kagere aliyekuletea ni haya...

1. Mwigulu Nchemba
2. Paul Makonda

Majina ambayo nakuomba ukiletewa Mezani Kwako tu ili umteue wa Kukurithi yapokee, furahi na mwambie Mwenyezi Mungu Asante ni haya....

1. Palamaganda Kabudi
2. William Lukuvi

Na nyie wana CCM chagueni kati ya Kabudi au Lukuvi ili amrithi Mama Samia wakati Mama Samia nae akishaapishwa rasmi kuwa Rais aanze na Kazi ya kurejesha Upendo, Amani na Mshikamano baina ya Watanzania wote ambao ulitoweka ghafla tangia 2016 na upo tu Kinafiki Nyusoni mwetu hadi leo.
 
Jina limetoka IDARA YA USALAMA WA TAIFA

Tuendelee kuchapa kazi kwa kuenzi mazuri ya JPM
 
Muda utasema. Huu ni wakati wa siasa za vyama vingi, ndio maana hata Lisu alitumia muda mwingi wa kampeni kanda hiyo, unafikiri ni mjinga.
 
Muda utasema. Huu ni wakati wa siasa za vyama vingi, ndio maana hata Lisu alitumia muda mwingi wa kampeni kanda hiyo, unafikiri ni mjinga.
Point yako haina mashiko ndiyo maana umeshindwa kujibu swali langu la kwanini Mwinyi hakuteua VP msukuma.
 
Viti 10 angetengua akavigawa kwa upinzani kwa uwiano wa kura walizopata uchaguzi mkuu.
 
mi naona CCM iweke ma kando kando yao pembeni wampe tu kijana January Makamba - hasa wakikumbuka alikuwa kwenye top 5 wakati wa kumsaka Rais wa Tanzania... na ana uwezo mkubwa ukilinganisha na hao walamba viatu.
Nakuunga mkono 100%
 
Iteengenezwe Serikali ya mpito wazee wetu wafanye combination Mambo yakishatengamaa protocol ifuate haya ni maisha yetu hayatakiwi kufanyiwa majaribio.Tumeona wenyewe mziki ulivyopigwa,game haikuwa ya kitoto,
Haya ni maisha yetu hayatakiwi kamwe kufanyiwa majaribio.
Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…