wandu waruwa
Senior Member
- Dec 20, 2020
- 133
- 97
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Dr.kimei
Prof Adolf
Lukuvi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr.kimei
Prof Adolf
Lukuvi
Mmezoea kuvunja katiba.Itapendeza ,kufumba macho, kubadilisha baadhi ya vifungu, makamu atoke vyama vya upinzani ikiwa ni pamoja kuvunja bunge, namanisha uchaguzi wa wabunge na madiwani urudiwe upya.
Lukuvi ni mtu smart kiasi japo sijamfuatilia sana anafaa pia.Dr.kimei
Prof Adolf
Lukuvi
Wale wanaomkubali Lukuvi sema hoyeee!!Mwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
Wacha masihara wewe, sasa hivi habari za wasukuma zimeshapitwa na wakati.Nasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.
Tulikuaga na Jakaya na Shein, Jakaya na Gharib Bilali..
Kipi ulipunguza? Ambacho wakati wa Magufuli na Samia ulikiongeza?
Kosa lenu mmeangalia nafasi 2 tu ya rais na makamu mimi nimeangali nafasi zote mpk waziri mkuu kwa hizo tawala mlizojengea hoja waziri mkuu alikuwa upande gani halafu mlinganishe na sasa kwa hiyo hiyo nafasi lzm awe mkristo tena wa kutoka bara kama waziri mkuu akibaki yuleyule.Kikwete aliwahi kuwa na makamu mkristo?
Haiwezekani kwa mujibu wa sheria au kwa hisia zako?Kigezo cha kwanza kwenye majina lazima awe mkristo ili kubalance haiwezekani wote wakawa waislamu haya tuanze upya kufikiria
Hayo ya chuki ni yako wewe mimi nimeangalia namna ambavyo mara zote imekuwa ikitendeka hivyo ktk tawala zote nikatoa nami mtazamo wanguChuki zako dhidi ya Waislamu unazitoa wazi wazi .Unaonekana weye ni mdini na una chuki na hikdi juu ya Waislamu Allah akuangamize watu kama weye na mfano wake.Laana za mungu ziwe juu yako hawa watu wabaya sana.
Tusubiri tuone basi mkuu kama ni hisia au sheriaHaiwezekani kwa mujibu wa sheria au kwa hisia zako?
Kigezo mfu na muflisi kwenye siasa na akili ya kiuongozi. Only in African thinking.. Why kufikiria hiki, unabalance ili iweje..Africa tunarudi sana nyuma kwa kufikiria huu ijinga kumpa mtu nafasi hata kama hana vigezo vinavyotakiwa kisa dini au kabila..Kigezo cha kwanza kwenye majina lazima awe mkristo ili kubalance haiwezekani wote wakawa waislamu haya tuanze upya kufikiria
Jibu swali,au uliropoka tu ili kuifurahisha nafsi yako? hii ni JF tunaenda kwa fact.Tusubiri tuone basi mkuu kama ni hisia au sheria