Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Bora mpango hao wawili ni moja ya wale wanafki wakiokuwa wamemzunguka raisMwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora mpango hao wawili ni moja ya wale wanafki wakiokuwa wamemzunguka raisMwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
Makamu mwislam, rais mwislam ,unamanisha nini?Bila shaka kwa nafasi hii watu hawalali, Lumumba na viunga vyake, baraza la Mawaziri nalo lipo tumbo joto maana lazima pangua pangua itakuwepo, kwa nafasi ya VP hapo January ndio chaguo la mama, kiufupi CCM ya asilia inarudi, MATAGA mwisho rasmi umefika.
Mahiga alifariki 1may 2020,siku inayofata kabla hata hajazikwa, marehemu Magufuli, akamchagua mwigulu kuchukua nafasi yake, Uwezi kuzuia watu kujadili nani anafaa kuwaongoza!! Wala Uwezi kuwachagulia muda wa kujadili, ameshakufa uyo, Nchi haiwezi kusimama.. mijadala ni muhimu.Tena wanga sana hawa Wakubwa, huyu aliye anzisha hii post/thread anatakiwa awe wodini pale milembe-wodi namba 5, maana si kwa mawenge haya! Hatuja zika wewe unakuja ushuzi huu wa kipumbavu, hebu acheni banaaa!
Hakuwa na uvumilivuBernard Membe
Kwani wa ujenzi ni wa hukoNasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.
Mpwa kaenda zake..... Polee mkuu[emoji26][emoji26][emoji26]Viti vya Wahudhuriaji wa Msiba havijapangwa bado hadi Ratiba ya Msiba (Mazishi) haijapangwa tayari mmeshaanza kuja na hopeless Speculations zenu, hivi mkiambiwa nyie ni Wachawi mtabisha au Kukataa?
Huiskitikii Tanzania unawaza MATAGA tu.Bila shaka kwa nafasi hii watu hawalali, Lumumba na viunga vyake, baraza la Mawaziri nalo lipo tumbo joto maana lazima pangua pangua itakuwepo, kwa nafasi ya VP hapo January ndio chaguo la mama, kiufupi CCM ya asilia inarudi, MATAGA mwisho rasmi umefika.
Wasukuma ndio ccm au ndio serikali yenye wajibu kisheria kuteam makam wa rais au ndi ndoto zako tu?Nasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.
Technically hawawezi kuwa top 3 toka dini moja. Changanya na Bashiru.Umewaza kama mimi Chief, namuona January akienda kushine tena, japo inaweza isiwe kirahisi sana.
SahauYaaaaaap mkuu mambo yarud kama zaman
Waziri mkuu alikuwa nani?Tulikuaga na Jakaya na Shein, Jakaya na Gharib Bilali..
Kipi ulipunguza? Ambacho wakati wa Magufuli na Samia ulikiongeza?
Umeishiwa wewe, leta hoja weka pembeni ukabila. Wasukuma kama tungekuwa tumependelewa wote si tungekuwa madarakani sasa?Nasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.
Yes umeongea poit mkuu, vilevile atatafutwa ambaye ni mzoefu sana na wakati huo sio mbunge kwa sasa, umri utazingatiwaMi naona kati ya Chenge au Mkuchika wanafaa