Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.
Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.
Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.
Naombeni mniamini.
Hicho chama ndio kimeshika hatamu. Polepole ni rais ajae in 10 or 15 years time, alishaanza kuandaliwa.Hebu mtulie basi..
Hii mi nchi sio kile chama cha kijani!
Polepole hatoshi hata kwa kijiko
Wampe kama chapati?Makamu wa Raisi nashauri tumpe huyu mzee ambaye hatakuwa pale kutaka kuwa Raisi bali kumsaidia Raisi. Pamoja na mapungufu yake ni mzalendo. Nitapata wasiwasi wakiweka watu wenye uchu wa kuwa Maraisi watakuwa wanafanya siasa zaidi kama ilivyo Kenya Rutto.
Eti nasikia pindaMakamu wa Raisi nashauri tumpe huyu mzee ambaye hatakuwa pale kutaka kuwa Raisi bali kumsaidia Raisi. Pamoja na mapungufu yake ni mzalendo. Nitapata wasiwasi wakiweka watu wenye uchu wa kuwa Maraisi watakuwa wanafanya siasa zaidi kama ilivyo Kenya Rutto.
Ila kituko utasikia yule mkimbizi anafaa kuwa rais.Ni maoni yako. Lakini huyo mzee hafai PM
TrueWazee tena!? Leteni "vijana"... wa miaka 45 mpaka 50 hivi.
Kwani hiyo migodi ya serikali?Kwani walipompa kandarasi ya kuhudumia migodi yote hawakuwa wameshaufyata kwa mabeberu?
Eti nasikia pinda