Huyo Mama naskia anatishwa atapigiwa kura ya kutokuwa na imani nae wabunge wengi waliwekwa na Magufuli, she is scared.

Let's wait & see.
Wazee waling'amua kitu tokea 2015 na ndo maana akasema kwamba yeye alimuandaa Hussein Mwinyi.

Hivyo hata ukijitahidi uwahi kiti cha mbele tatizo ni CC ya CCM ambayo yumo pia mama Anna Makinda ambae kwenye mdahalo pale Dodoma mwezi jana na mzee Butiku na yule mzee mwingine (mtu mzito ndani ya BUT) walisisitiza kulinda mwelekeo wa 2015-2025.

Huo ni uchambuzi wangu tu hapa Tandamti Street.
 
Huyo Mama naskia anatishwa atapigiwa kura ya kutokuwa na imani nae wabunge wengi waliwekwa na Magufuli, she is scared.

Let's wait & see.

Struggle for power katika nyakati is tulizonazo is as real as Reality can be!

In events like these haya yanategemewa sana!, but fortunately most times, mambo huwa “fixed”

Let’s pray for Fortune!
 
Majina ya wahariri yapo wazi watafute waulize.

Kuna uhakiki kiasi gani wa hao wahariri wa hii habari kuwa wakweli na wenye uhakika ?!

Spoiler; we got threads here in JF which date as far back as 2017 , with speculations and prophesies of what to come in 2020 & 2021! Hizi tunazizungumziaje?!?
 
Hakuna cha NCHIMBI wala mavi yake..... JK + KARUME + SAMIA Ni kitu kimoja. Afu msisahau kuwa RAIS NDIO ANAPENDEKEZA JINA sio CC inapemdekeza. MAMA SAMIA ANAWEZA KUMTEUA STEVE NYERERE NA NGOMA IKAINUKA.
VP TAYARI ANAJULIKANA KUTOKA UPANDE WA JK NA KARUME
 
Na ndo maana Rostam amewezeshwa kufungua kiwanda cha ngozi Morogoro kwa kuleta wawekezaji.

He is the kingmaker.

Ila bado matokeo halisi yaweza kuwa tunapotezwa lengo.

Lakini Mafisadi hawana nafasi katika CCM mpya.
Hiyo nafasi hawana manake wakirudisha mafisadi 2025 CDM wanachukua nchi saa nne asubuhi
 
Chief, Bashe and Smartness don’t and will never rhyme!

Kuvaa barakoa jana, his smartness + Mzee alimpenda sana??!? Sijaelewa hapa!

Muda utasema

Tusisahau hizo pesa zilishindwa kumzuia Magufuli kuwa Rais 2015
Za mvi na za membe zote zilitumika na akapenya
 
Naona sasa roho kwatu kwenu ,kwa maana hii orodha wote wangekuwa akina Patrick tungeanza kusikia kelele za oh wakristu wanajipendelea,na mlivyo na tabia za ajabu sasa hatutawasikia mkiuliza maswali yenu ya mbona hakuna Muislamu!
 
Safari hii watanzania msishangae mkaletewa kitu fulani hivi cha ajabu, hamkijui kabisa, mtajuliwa na kuaminishwa kuwa kiko poa na mtarejea kupiga makofi.

CCM ni mabingwa wa mazingaombwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…