Mgosi Makamba apewe wizara ya mambo ya nje akijiandaa kwa ajili ya 2025.
 
Hivi mkuu kweli unafatilia hata katiba ya nchi yako? Mtu akishakuwa Rais wa JMT hawezi kushika madaraka yoyote ya kiutumishi serikalini akishastaafu.

Jakaya Kikwete awe makamu wa Rais seriously?
 
January Makamba

Advantage ana misimamo akisema A ni A hakuna kingine.

Disadvantage anawaza upuuzi sana kichwani kwake saa zingine, not realistic on priorities za 3 world country.

Huyo mtu hafai kwa nchi inayotaka kujikomboa kiuchumi, he never saw eye to eye na Magufuli.

NEMC kutoa vibali vya go ahead chini yake ilikuwa shida. Yote kutokana na upuuzi wake wa extensive environmental impact assessment zinazo chukua muda mrefu kukamilika.

Makamu wa raisi apewe Kassim Majaliwa alimuelewa Magufuli.
 
Chuki zako dhidi ya Waislamu unazitoa wazi wazi .Unaonekana weye ni mdini na una chuki na hikdi juu ya Waislamu Allah akuangamize watu kama weye na mfano wake.Laana za mungu ziwe juu yako hawa watu wabaya sana.
Mbona laana tena? Watu wazungumze hoja, majibu yako yanaonyesha chuki uliyonayo wewe
 
Mimi nashauri kwenye nafasi hii ateuliwe moja kati ya viongozi toka vyama vya upinzani ili kuleta umoja na mshikamano wa kitaifa ambao kwa miaka ya hivi karibuni uliingia dosari na kutugawa kama watanzania
Nani wa kuteuliwa kutoka upinzani?
 
Si nilisikia ni Andrew Chenge? but Kabudi angefaa kabisa.ila sometimes ni maajabu.Maana mwenyewe alishasemaga asingeruhusu raisi ajaye awe mzee
 

Mizengo pinda akafuge nyuki si kuonyesha njia
Hapa ni Kabudi
 
Ni aibu! Mnaanza kugimbania vyeo tangu siku ya kwanza ya maombolezo! Haraka ya nini? Huyo uliyempendekeza tayari umeshamharibia! Ni kama mlikuwa mnatamani msiba utokee ili mpate nafasi!! Watanzania tuna akili!
 
Paul Makonda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…