Sema kwakuwa kazi yenyewe ya umakamu wa rais kwa hapa bongo haina issue zaidi ya kukata utepe kwenye zinduzi basi. Hata awekwe nani kwa katiba hii atakuwa hana nguvu kimamlaka.Mwigulu na Kabudi hapana,, big No
Hao wataendeleza usanii wa kiwango cha juu,, afadhali Mpango.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Askofu Rashid ni nan?Nasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.
Watapata nafasi kirahisi ya kushawishi ujinga kwa raisSema kwakuwa kazi yenyewe ya umakamu wa rais kwa hapa bongo haina issue zaidi ya kukata utepe kwenye zinduzi basi. Hata awekwe nani kwa katiba hii atakuwa hana nguvu kimamlaka.
Mgosi Makamba apewe wizara ya mambo ya nje akijiandaa kwa ajili ya 2025.Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.
R.I.P Magufuli.
Hivi mkuu kweli unafatilia hata katiba ya nchi yako? Mtu akishakuwa Rais wa JMT hawezi kushika madaraka yoyote ya kiutumishi serikalini akishastaafu.1. Jakaya Mrisho Kikwete, apewe umakamu wa rais
2. Butiku
3. Kimei
4. Kinana
5. Warioba
6. Prof Muhongo
7. Makinda
7. Mwamunyange
8. Lissu
9. Chikawe
10. Mwandosya
Hao akina January, mwigulu sijui kabudi bado sana. Anatakiwa mkongwe na mwenye busara ya kumwongoza mama kuliweka taifa pazuri
Mbona laana tena? Watu wazungumze hoja, majibu yako yanaonyesha chuki uliyonayo weweChuki zako dhidi ya Waislamu unazitoa wazi wazi .Unaonekana weye ni mdini na una chuki na hikdi juu ya Waislamu Allah akuangamize watu kama weye na mfano wake.Laana za mungu ziwe juu yako hawa watu wabaya sana.
Wasukuma ndio ccm au ndio serikali yenye wajibu kisheria kuteam makam wa rais au ndi ndoto zako tu?
Nani wa kuteuliwa kutoka upinzani?Mimi nashauri kwenye nafasi hii ateuliwe moja kati ya viongozi toka vyama vya upinzani ili kuleta umoja na mshikamano wa kitaifa ambao kwa miaka ya hivi karibuni uliingia dosari na kutugawa kama watanzania
Si nilisikia ni Andrew Chenge? but Kabudi angefaa kabisa.ila sometimes ni maajabu.Maana mwenyewe alishasemaga asingeruhusu raisi ajaye awe mzeePoleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.
R.I.P Magufuli.
Mi nashauri Mh. Samia amtafute makamu wake ambaye ni mchumi mmbobezi ambaye amtamsaidia kuurudisha uchumi kwenye mstari, lakini mtu mwenye ufahamu wa diplomasia vizuri itamsaidia pia kuurudisha mahusiano na nchi marafiki na mwisho mtu walau mwenye uzoefu wa shughuli za serikali.
Possible candidates include former CAG, former Katibu mkuu kiiongozi Sefue,
Proffesor Mkenda, Mizengo Pinda.
Mheshimiwa aepuke kutea makada ambao wanaweka chama mbele na sio taifa
Chrispin ManyonyiNape Nnauye.
Ila katiba haimtambui VC president mwanamke?Mbona imetumia. His,he?Nani wa kuteuliwa kutoka upinzani?
Ni aibu! Mnaanza kugimbania vyeo tangu siku ya kwanza ya maombolezo! Haraka ya nini? Huyo uliyempendekeza tayari umeshamharibia! Ni kama mlikuwa mnatamani msiba utokee ili mpate nafasi!! Watanzania tuna akili!Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.
R.I.P Magufuli.
Kuzika tutazika lakini maishayataendelea kuwa na mipango ni sahihi kwa sababu wafu hawajui neno loloteWewe January Makamba, tupo kwenye msiba eboo!! tulia kwanza.
Paul MakondaPoleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.
R.I.P Magufuli.
Dah yaani kama nchi tulikuwa tumevugwa acha tu sijui hata huko jikoni mida hii kwenye chungu kuu kukojeWale waliounga juhudi sijui itakuwaje
Umewaza kama mimi Chief, namuona January akienda kushine tena, japo inaweza isiwe kirahisi sana.