Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Mwigulu Nchemba.

Palamagamba Kabudi.

Phillip Mpango.
Mkuu, JokaKuu - kama Taifa letu lipo serious kufuata nyayo za Baba wa Taifa pamoja na mzalendo wa kweli ,mfatiliaji mahili na mchukia rushwa na ufisadi kama Dk.Magifuli - binafsi naona kiumbe ambaye ana fit the bill ni "Bashiru A. Kakurwa" akiteuliwa kuwa Makamu wa Rais kumsaidia a no nosense mama S. Hassan,wawili hao ndio wataweza kusimamia to the letter mipango yote iliyo anzishwa na Mzalendo JPM na team yake, tukumbuke vile vile kwamba Kakurwa ana traits zote za Mwalimu Nyerere na JPM na kizuri zaidi hana makuu hana makundi au kutaka kujikweza.

Waziri Mpango aendelee kusimamia Wizara yake ambayo ameonyesha umahili mkubwa wa kuisimamia na kwa kuwa Wizara yenyewe ndio life line ya Taifa letu - Waziri Mpango kama walivyo mama S.Hassan na Kakurwa hawana makuu au kutaka kujikweza au kuwapa leeway mafisadi ku-hold at ramsom Taifa letu - the trios mentioned above are as clean as a whistle.Hayo ni maoni yangu, I might be wrong.
 
Bernard Membe hii ndo ilikuwa nafasi yake ya kuchukua ikulu lakini alikosa uvumilivu.

Mgosi January Makamba bado brother-men sana hajakomaa kisiasa huyu anafaa kwanza apewe wizara ya mambo ya nje akomae akili.

Just imagine wewe ndo ungekuwa mume wa rais yaan kama namwona mume wa Mama Samia anavyokula bata ikulu kama mfalme [emoji23].
 
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.

Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.

Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?

Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.

R.I.P Magufuli.
Tatizo ile kanda wanaitaka hiyo nafasi ili kulinda maslahi yao hivyo mama Samia anatakiwa awe makini mno asije penyezewa mtu sio sahihi.Mungu amuongoze kwenye hilo huko mbeleni,wapo wana ccm wazuri tuu.
 
Bernard Membe hii ndo ilikuwa nafasi yake ya kuchukua ikulu lakini alikosa uvumilivu

Mgosi January Makamba bado brother-men sana hajakomaa kisiasa huyu anafaa kwanza apewe wizara ya mambo ya nje akomae akili

Just imagine wewe ndo ungekuwa mume wa rais yaan kama namwona mume wa Mama Samia anavyokula bata ikulu kama mfalme [emoji23]
Membe angechukuaje sasa mbele ya mama Samia.
Hivi hawa waliomficha rais mpaka anafariki tuwachukulie hatua gani?
Maana mimi nina hisia mbaya juu ya jambo hili. Wamemfanya nini huko mafichoni?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Itapendeza ,kufumba macho ,kubadilisha baadhi ya vifungu , makamu atoke vyama vya upinzani ikiwa ni pamoja kuvunja bunge , namanisha uchaguzi wa wabunge na madiwani urudiwe upya.

Lengo kuleta mshikamano wa kitaifa, hata huwe malaika kuongoza nchi ikiwa imagawanyika ni ngum Sana, wazee ,wastahafu kutoka CCM, hapa simameni imara kwa maslahi mapana ya taifa.
Katiba umesoma vizuri mkuu?Nenda kaiperuzi ndio uje na wazo lako.
 
Bila shaka kwa nafasi hii watu hawalali, Lumumba na viunga vyake, baraza la Mawaziri nalo lipo tumbo joto maana lazima pangua pangua itakuwepo, kwa nafasi ya VP hapo January ndio chaguo la mama, kiufupi CCM ya asilia inarudi, MATAGA mwisho rasmi umefika.
Waunga juhudi imeisha hio
 
Back
Top Bottom