sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Watz mln 50 umewaona hapa?January kalifanyia nini taifa letu kama siyo usanii tu. Watanzania mbona tunakuwa wajinga hivi? Tanzania imejaa watu wengi wenye akili na vision wewe unasema huyo msanii? Huyo na Makonda au Gwajima wana tofauti gani?