Donasian kabengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 791
- 405
KimaMaoni yangu Kabudi anafaa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KimaMaoni yangu Kabudi anafaa sana
Prof Kabudi, achana na siasa kwenye hili janga la Corona. Tumepoteza viongozi muhimu sana .
👊👊Prof Kabudi, achana na siasa kwenye hili janga la Corona. Tumepoteza viongozi muhimu sana .
dah, kweli Tanzania tumefikia hapa kuhitaji watu kama kina Kabudi?
EtiiKama itaanzishwa wizara mpya ya Praise and worship affairs wampe tena haraka sana lakini sio kuzungumzia sensitive positions Kama VP Mtaharibu asubuhi na mapema
Paramaganda kiongozi muongo muongo na mnafiki asiyejiamini.
Hafai hata kidogo kuwa karibu na kiongozi mkuu kwani anapotosha na yuko radhi kulamba miguu ili tuu mambo yake yamnyookee
Mtu mwenyewe ana ndimi mbili kwani ni hatariLabda kakutuma. Iliwahi kumuona Kabudi akiongea jambo la maana zaidi ya propaganda? Na uongo. Mbona mna turudisha nyuma jamani. Hawa maprof wa Dr Jpm nadhani wote wamefeli. Hata Msukuma daras la saba H alikuwa ana waambia bungeni.
Ukimwona Mtu wa umri ule anajipendekeza ni shida sijui waliokuwa naye tungewaulizaParamaganda kiongozi muongo muongo na mnafiki asiyejiamini.
Hafai hata kidogo kuwa karibu na kiongozi mkuu kwani anapotosha na yuko radhi kulamba miguu ili tuu mambo yake yamnyookee