Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Hatutafuti mganga wa kienyeji au mcheza baikoko, nchi haiendeshwi kwa ramli.

R.I.P JPM
 
Subiri hapo wana CCM wakushangaze!

Utashangaa!! Game changer, king maker, Rostam Aziz, VP! Hata MO Au Bashite aweza kupewa, 9-10 Askofu asiyefufua Gwajiboy aweza magnifies kijiti, au LEMUTUZ super brand![emoji28]

Everyday is Saturday............................... 😎

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah! Apo sasa tutawaomba jeshi wachukue tu inchi kwa muda.
 
Njoo na sababu MKUU,but lengo nikupatiwa mtu bora

Hajui kubalance agenda yeye black is black and white is white siasa haiwezi! Wampeleke kwy mambo ushauri tu wa fedha na uchumi siasa hawezi.
Siasa ni mchezo wa kutumia akili na blah blah sometiems Prof yupo too strictly hawezi na ana elements za udini /msimamo mkali
 
wakuonyeshe faili lake,umjue?
CV yake hii hapa
Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.

Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima ya kuwa Makamu waRais waJamhuri ya Muungano waTanzania.

Humphrey Polepole ni nani?​

chanzo. Humphrey Polepole ni nani?
 
Kimbao kageuka kuwa mwandika taarabu kule twitter, haeleweki
 
Madam President, wewe siyo mtu wa maneno mengi ni mtu wa vitendo zaidi (woman of action). Ukiona inafaa tafuta mwanamke jasiri kwelikweli akusaidie kwenye nafasi ya makamu wa Rais.

Usiweke mwanaume kuwa Vice President atakuangusha.

This is your time kina mama, onyesheni uwezo wenu kwenye uongozi.

Golden chance never comes twice
 
Madam President, wewe siyo mtu wa maneno mengi ni mtu wa vitendo zaidi (woman of action). Ukiona inafaa tafuta mwanamke jasiri kwelikweli akusaidie kwenye nafasi ya makamu wa Rais. Usiweke mwanaume kuwa Vice President atakuangusha.
This is your time kina mama, onyesheni uwezo wenu kwenye uongozi.
Golden chance never comes twice
Asha rose Migiro na kwa bahati ni mkristo
 
Hali hii mwanamke ameapishwa tu, bila kuteua Makamo Wa Rais wala Waziri Mkuu. Akiteua na hio nafasi ya Umakamo Wa Rais Mwanawake si mabaharia wamekwisha.
IMG-20190910-WA0011.jpg
 
Makamu apewe Aggrey Mwanri kaskazini wametupwa muda mrefu sana. Pili Mwanri atatupooza machungu kwa vicheko.
 
Napendekeza wafuatao wawe VP wataendana na Samia. Nchi itatulia na itaenda. Pili hata kinyota wanaendana. Tatu wote ni Wakristo Ili kuleta balance
1.Ndalichako
2.Migiro Asha
3.Mtaka
4.Mwanri Aggrey.

Makamba apewe mambo ya nje atarudisha diplomasia iliyokufa.
Makamba, Jaffo, Mwinyi, Mtaka, Mavunde hawa ni hazina ya taifa na madereva wazuri watarajiwa
 
Back
Top Bottom