Baada ya kimya kingi nami nitie neno DP World, Mtazamo wangu ni Tofauti kidogo

Sijawai kusema Urusi ikivamia Ukraine na left niliwaambia Mdee akifukuzwa CHADEMA naleeft
 
Foolish advice taken and foolish decision made by CCM government since independence!!
 
Bwana Britanicca, CCM mtaji wenu no ujinga wa Watanzania. Ndio maana hata mambo mazito na makubwa mnawatanguliza. Wajinga... Mjue kuwa kuna kundi mtalipata tu!
 
Ataandaliwa Mwinyi, Makamba, au Ridhiwani ili waulinde huo mkataba maana Rais kutoka nje ya mikoa ya Pwani ndiye mzalendo.
 
we ndio walewale huna unachojua, leta ushahidi na unayoyasema. Waziri alieleza kila kitu kinagaubaga km hamkumwelewa mkarejee maelezo yake. Au nyie mnataka muwe na serikali yenu zaidi ya iliyo madarakani? Tuwaamini viongozi wetu.
 
Mi namlaumu huyu katibu mkuu wa CCM wa sasa, shida ni kiwango cha elimu au ni kwamba ni mzito kichwani. Hivi kweli Sofia Mjema ndiyo awe katibu mwenezi wa chama? Are they serious? Kilichaongaliwa ni jinsia au dini. Km wanaweka watu kwa kwasababu binafsi km hizo tegemea failure. Nauliza UV-CCM wako wapi, au kwasababu mwenyekiti mzanzibari. Huyu mama kajaza waislamu na wazanzibari kwenye chama ktkt uchaguzi wa 2022 akifikiri sijui amekuwa shehe badala ya mwenyekiti wa CCM Taifa. Mi sintashanga chama kikimfia mikononi, halafu inaonekana km ana kibri flani ya kutoshauriwa. CCM ninayoijua siyo hii, katibu mwenezi wa CCM na UV-CCM wasingelala wangekuwa wamesambaa nchi nzima na kwenye mitandao kutoa ufafanuzi wananchi waelewe, wako wapi, au wanafikiri wamepewa nafasi ya kula siyo ya kazi?
 
Saa100 yeye anafurahi kutoka hapa kwenda dubai , kwa kodi zetu na kuwekewa picha kwenye burji khalifa
 
Hivi nani anawapa hawa watu kama wakina steve nyerere sijui manara
Kujibu mambo mazito

Ova
Ushawishi wa Haji Manara kwny jamii ya kawaida ni mkubwa sana kuliko ma Prof wote wa Udsm

Jamii ya kawaida haijui hayo mambo ya TOR wala Procurement process na hiyo jamii ya kawaida ndio ya Wapiga kura

Sisi tunaopinga huu wizi wa DP lazima nasi tutumie watu wa oya oya kufanikisha kufikisha ujumbe kwa hadhira

mf. Roma n.k

Sehemu kubwa ya mafanikio ya kisiasa ya Mwanasiasa ni kuwafikia Wapiga kura kwa njia rahisi kwao sio kwako
 
Wale nyumbu watakwambia Samia ameuza Bandari 😁😁
 
Ndugu hatua namba B haikufuatwa kabisa. That means DpW alipewa special preference ndio mana hiyo michakato ilirukwa.. The question is Why So?
Ndio maana unasikia mpaka story za uwepo wa rushwa kwenye hili sakata that means kwamba kuna hidden things kwamba inyeshe mvua liwake jua lazima DpW apewe huu uwekezaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…