Baada ya kimya kingi nami nitie neno DP World, Mtazamo wangu ni Tofauti kidogo

Baada ya kimya kingi nami nitie neno DP World, Mtazamo wangu ni Tofauti kidogo

Maada nzuri ila ulituambia kuwa " Kama Urusi itaivamia Ukraine basi una left jf" . Hujatekeleza.

Sasa nikukosoe kidogo kwa nia ya kujenga kujenga

1. Wanaopinga kuuzwa bandari sio wapinzani bali ni watanganyika wote kwa ujumla bila kujali itikadi wala dini zao. Rejea shekhe Ponda

2. Wanaounga mkono ni wazanzibar kwa kuwa mama ni wa kwao waziri na katibu wa wizara pia.

3. Watanganyika wanaounga mkono ni wanne tu waliohongwa ili tumbo zao zishibe. Nao form two dropouts Kitenge, Zembwela, Baba Levo na Manara.

Usitugawe watanganyika kwenye hili tumeungana hatutaki kuuzwa.

Tunahitaji uwekezaji wenye tija.

Mkataba ufutwe tutoe masharti sisi siyo wao.
Kumbe hata wabunge waliopitisha ni wazanzibar
 
Habari za siku nyingi, nimekuwa kimya kidogo tokea sakata la bandari limeanza.

Uwekezaji ni mzuri sana, hasa unapofuata misingi sahihi. Hasa kwa bandari zetu, hizi zinataka mapinduzi makubwa sana kutoa au kuondoa ukiritimba uliopo. Hivyo siwezi kupingana na aliyeleta hoja ya kuwakaribisha wawekezaji, japo naweza pingana naye kwa namna sakata linavyopelekwa au lilivyobebwa.

A. Kwanini naunga mkono hoja?

Bandari yetu imekuwa ni ya hovyo sana kwa miaka mingi mno. Kupotea kwa mali za wateja, kuchelewa kwa huduma, kutozwa tozo zisizo sahihi, kuharibu mali wakati wa utoaji. Kwenye suala la mwekezaji bandarini, isiishie kwenye kuleta mikono ya kupakua mizigo au kuweka tehama tu. Bali hata usimamizi wa mapato na mchakato mzima wa kumtoza mteja uwe wazi na makusanyo yaelekee sehemu husika.

B. Mapungufu katika mchakato mzima

Natambua fika kwamba wenye bandari, sisi ndio ilibidi tuande draft ya jinsi gani tunataka bandari iendeshwe, alafu tumpe anayekuja kuwekeza. Najua hilo litakuwa limefanyika, ila kama yamefanyika, basi zitakuwa zimepitiwa hatua hizi.

Mwenye bandari, sisi ndio ilibidi kuandaa proposal na tena kuna hatua:

1. Unaandaa hadidu za rejea, yaani terms of reference (TOR).
2. Unaandaa tangazo ili wazabuni waombe kufuatana na vigezo vyako kwenye Hadidu za rejea.
3. Unatangaza tenda ili watoa huduma waombe kufuatana na vigezo vya kwenye Hadidu za rejea.
4. Mnafungua tenda mbele ya wazabuni.
5. Mnachuja wazabuni kufuatana na vigezo.
6. Mkimpata anayewafaa, mnamfahamisha kupitia offer letter.
7. Anajibu offer letter.
8. Wewe mwenye zabuni, ambaye ndiye unahitaji huduma, unaandaa mkataba. Unawapa draft upande wa pili, nao wanaupitia. Wakikubaliana, mnasaini.

Nadhani huu utaratibu au unaofanana na huu ulifuatwa. Tunasubiri CAG akija kwenye ukaguzi, asije kusema trilioni kadhaa zilipotea kwa sababu ya kutofuata taratibu za mkataba.

C. Udini na ukanda

Ukiwasikiliza vijana wengi mtandaoni kwa sasa, hawajibu hoja bali hisia zimejengeka tayari ndani yetu au yao. Kwamba Wazanzibar wanauza Tanganyika, wakati huo huo Wazanzibar wanatetea hata kila lisilotetewa kisa watekelezaji wanatoka upande wao. Hapa ningeshauri kwanza vijana wazichambue hoja zote za msingi, tuweke ukanda na udini pembeni ili sasa tuongee points. Juzi kuna sheikh mmoja nimemuona anamparua Prof Issa Shivji, kama mtoto mdogo bila kujua mzee Shivji ni miongoni mwa wanazuoni 7 waliopewa direct approach Ikulu na kutoa maoni. Na katika maoni ambayo huwa yanazingatiwa sana ni ya Issa. Anatokea mtu anajiita Sheikh, bila kujibu hoja, anambagua kwa rangi yake. Hilo suala halikuwa sahihi kabisa. Masheikh na Maaskofu, umakini katika kuyaongelea masuala ya msingi kama haya, hasa nisifiche mme-pwaya.

D. CCM inatumia watu wa hovyo kufikisha ujumbe

Chama changu pendwa cha CCM, mmetumia watu wa hovyo sana kufikisha ujumbe au kuelimisha jamii. Nina mifano:

- Hili suala la uwekezaji au ubinafsishaji kwenye bandari, wapinzani wametupiga bao kwenye kutumia watu wajanja na wajuzi wa mambo kudadavua undani. Na ndio maana kila mwananchi wa kawaida anadhani au anajua bandari imeuzwa tayari, kwakuwa wamejadili masuala ya msingi. Na hata wasio wapinzani wamejadili mambo ya msingi haswa.

Mfano, Mama Anna Tibaijuka alieleza kwa kina juu ya usalama wa anga (airspace). Kwamba mkataba, kwa kipengele alichosoma, kuna sehemu inasema kwamba bandarini pale, sehemu kadhaa ft kadhaa kwenda juu, hatutakuwa na mamlaka nayo. Hili suala halijajibiwa zaidi ya kusema na kushambuliwa kwamba ESCROW ni ya Tibaijuka. Mara anamtetea Karamagi wa TCTS. Je, hoja yake imejibiwa?

Lissu yeye kazungumzia suala la watakapokuwa na bandari kavu, hatutaruhusu kujenga feeder roads. Kashambuliwa kwa matusi. Je, hoja hii imejibiwa?

Mkataba hauna ukomo, ni hoja ya kila mtu. Mbona nayo haijajibiwa?

Mgawanyo wa jinsi gani tutapata share haikuwekwa wazi. Basi inabidi CCM watumie wataalamu kueleza kwamba uwenda itasemwa hapo baadaye au kuna sababu kadhaa kadhaa kutosemwa.

Chakushangaza, watetezi wa CCM ni Steve Nyerere, ambaye hata wasanii wenzake hawamkubali popote, hata kwenye sekta ya usemeji walimkataa. Ndo CCM inampa airtime kusemea mambo mazito.

Mtu kama Manara, huyo ndo karibu kabisa kwa maelezo yake yamejaa na ubaguzi ndani yake, kwamba watu wa mikoani hawaruhusiwi kuhoji bandari. Are we serious?

CCM au Serikali ina watu wengi wa kuweza kueleza jambo likaeleweka. Wapo kama Mzee Adam Simbeye wa "This Week in Perspective" na wazee wa namna hiyo, wengi wasomi wanaoelewa masuala haya ya mikataba.

Linapokuja suala la mambo ya msingi ya nchi, tafadhali, akina Mwijaku, sijui Baba Levo, wakae kwenye miziki na media huko. Mambo ya msingi wataalamu wawaeleze wananchi kinaga ubaga, kuliko kuwatumia watu watakao watibua watu au kuwa misled na serikali ikaeleweka visivyo, kumbe si lengo la serikali waseme hivyo.

Ushauri wangu:

1. Kama tumekaa na TICTS miaka zaidi ya 20, aongezewe mwaka mmoja. Huku serikali na wadau waanze kuufanya mchakato upya kwa kutangaza magazeti ya serikali na kwenye televisheni ya Taifa. Kiwepo kipindi maalumu cha kuuelezea mkataba kwa Kiswahili tu na kidadavuliwe na wataalamu. Ifanyike hivyo kila wiki mara tatu kwa muda maalumu ndani ya wiki 52.

2. Mwekezaji naye aelezwe kwamba kuna ABCD tunataka wananchi wmaelezwe, ili kuzuia baadae asije kuwa raisi wa kariba ya wale wasiofuata sheria kama fulani, akaufutilia mbali.

Mwisho, Tanzania ni zaidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar, Tanganyika, ACT, Uislamu, Ukristo, au Upagani.
Mkuu kumbe ukitulia una akili timamu.
 
KWANZA; Nimekusoma mwanzo mpaka mwisho nimegundua kuwa hata wewe hujausoma huo mkataba ili ujue tatizo liko wapi..

Umekuja Kwa mtindo ule ule wa wana CCM wa kutetea wasichokijua. Kwanza hata hujui kuwa mkataba ni wa kugawa bure kwa mwaraabu wa Dubai bandari zote za mwambao wa bahari (Tanga, Pangani, Bagamoyo, DSM, Mtwara na Lindi na zingine zote ndogondogo). Vivyo bandari zote za maziwa makuu ya nchi ya Tanganyika (Nyasa, Tanganyika & Victoria). Upo hapo??

Tofauti yako na wengine ni kuwa, wewe umekuja na lugha laini na ya kistaarabu kidogo kuliko wajinga wengine wajiitao "machawa wa mama!!"

Vyema. Sasa naomba nikupe changamoto kadhaa kwenye baadhi ya hoja zako hapa chini👇👇
Uwekezaji ni mzuri sana, hasa unapofuata misingi sahihi. Hasa kwa bandari zetu, hizi zinataka mapinduzi makubwa sana kutoa au kuondoa ukiritimba uliopo. Hivyo siwezi kupingana na aliyeleta hoja ya kuwakaribisha wawekezaji, japo naweza pingana naye kwa namna sakata linavyopelekwa au lilivyobebwa.
Kwa hoja yako tu hii☝️☝️☝️ya ukiritimba.

Je, unadhani tunahitaji mwekezaji toka uarabuni au Amerika au Asia au Australia ili kuondoa ukiritimba bandari zetu?
A. Kwanini naunga mkono hoja?

Bandari yetu imekuwa ni ya hovyo sana kwa miaka mingi mno. Kupotea kwa mali za wateja, kuchelewa kwa huduma, kutozwa tozo zisizo sahihi, kuharibu mali wakati wa utoaji. Kwenye suala la mwekezaji bandarini, isiishie kwenye kuleta mikono ya kupakua mizigo au kuweka tehama tu. Bali hata usimamizi wa mapato na mchakato mzima wa kumtoza mteja uwe wazi na makusanyo yaelekee sehemu husika.
A: Unaunga mkono hoja gani? Kwamba, Tunahitaji mwaraabu au Mzungu au watu wengine toka mataifa mengine ili waje;
✓ Kutoza tozo zisizo sahihi kwa wateja wa bandari zetu?
✓ Kuzuia mali za wateja kupotea kwenye bandari zetu?
✓ Kuchelewesha huduma kwa wateja?
✓ Kuharibu mali za wateja wakati wa utoaji? nk nk..

B: Sisi kama nchi hatuna uwezo wa kuweka mifumo ya Tehama ya kisasa au mitambo ya kisasa ya kupakua mizigo kiasi cha kutaka kuziuza bandari zetu na kuhitaji mwekezaji toka mataifa mengine??
B. Mapungufu katika mchakato mzima

Natambua fika kwamba wenye bandari, sisi ndio ilibidi tuande draft ya jinsi gani tunataka bandari iendeshwe, alafu tumpe anayekuja kuwekeza. Najua hilo litakuwa limefanyika, ila kama yamefanyika, basi zitakuwa zimepitiwa hatua hizi.

Mwenye bandari, sisi ndio ilibidi kuandaa proposal na tena kuna hatua:

1. Unaandaa hadidu za rejea, yaani terms of reference (TOR).
2. Unaandaa tangazo ili wazabuni waombe kufuatana na vigezo vyako kwenye Hadidu za rejea.
3. Unatangaza tenda ili watoa huduma waombe kufuatana na vigezo vya kwenye Hadidu za rejea.
4. Mnafungua tenda mbele ya wazabuni.
5. Mnachuja wazabuni kufuatana na vigezo.
6. Mkimpata anayewafaa, mnamfahamisha kupitia offer letter.
7. Anajibu offer letter.
8. Wewe mwenye zabuni, ambaye ndiye unahitaji huduma, unaandaa mkataba. Unawapa draft upande wa pili, nao wanaupitia. Wakikubaliana, mnasaini.

Nadhani huu utaratibu au unaofanana na huu ulifuatwa. Tunasubiri CAG akija kwenye ukaguzi, asije kusema trilioni kadhaa zilipotea kwa sababu ya kutofuata taratibu za
mkataba.
Hopa tuko pamoja...

Mtwaambie sasa huko CCM na serikali yenu. Mlifuata utaratibu huu wa kisheria? Kama hamkuufuata utaratibu huu wa, nia yenu nii? Na, je tuwafanyeje unadhani? Mnastahili adhabu gani ?
C. Udini na ukanda

Ukiwasikiliza vijana wengi mtandaoni kwa sasa, hawajibu hoja bali hisia zimejengeka tayari ndani yetu au yao. Kwamba Wazanzibar wanauza Tanganyika, wakati huo huo Wazanzibar wanatetea hata kila lisilotetewa kisa watekelezaji wanatoka upande wao. Hapa ningeshauri kwanza vijana wazichambue hoja zote za msingi, tuweke ukanda na udini pembeni ili sasa tuongee points. Juzi kuna sheikh mmoja nimemuona anamparua Prof Issa Shivji, kama mtoto mdogo bila kujua mzee Shivji ni miongoni mwa wanazuoni 7 waliopewa direct approach Ikulu na kutoa maoni. Na katika maoni ambayo huwa yanazingatiwa sana ni ya Issa. Anatokea mtu anajiita Sheikh, bila kujibu hoja, anambagua kwa rangi yake. Hilo suala halikuwa sahihi kabisa. Masheikh na Maaskofu, umakini katika kuyaongelea masuala ya msingi kama haya, hasa nisifiche mme-pwaya.
Hii ☝️☝️☝️ndiyo tabia yenu wana CCM.

Kwanini unajishangaa mwenyewe..?
D. CCM inatumia watu wa hovyo kufikisha ujumbe

Chama changu pendwa cha CCM, mmetumia watu wa hovyo sana kufikisha ujumbe au kuelimisha jamii. Nina
Hata wewe bado ni wa hovyo. Bado huna hoja.

Haya 👇👇👇ulipaswa uyapeleke mjadiliane huko kwenye vikao vyenu..
mifano:

- Hili suala la uwekezaji au ubinafsishaji kwenye bandari, wapinzani wametupiga bao kwenye kutumia watu wajanja na wajuzi wa mambo kudadavua undani. Na ndio maana kila mwananchi wa kawaida anadhani au anajua bandari imeuzwa tayari, kwakuwa wamejadili masuala ya msingi. Na hata wasio wapinzani wamejadili mambo ya msingi haswa.

Mfano, Mama Anna Tibaijuka alieleza kwa kina juu ya usalama wa anga (airspace). Kwamba mkataba, kwa kipengele alichosoma, kuna sehemu inasema kwamba bandarini pale, sehemu kadhaa ft kadhaa kwenda juu, hatutakuwa na mamlaka nayo. Hili suala halijajibiwa zaidi ya kusema na kushambuliwa kwamba ESCROW ni ya Tibaijuka. Mara anamtetea Karamagi wa TCTS. Je, hoja yake imejibiwa?

Lissu yeye kazungumzia suala la watakapokuwa na bandari kavu, hatutaruhusu kujenga feeder roads. Kashambuliwa kwa matusi. Je, hoja hii imejibiwa?
Wewe unawezaje kuzijibu hoja hizi? Unadhani zina majibu??

Dhubutu.. HAKUNA awezaye kujibu huko CCM Kwa sababu mwizi hawezi kujitetea Kwa lolote anapokuwa amekamatwa na uthibitisho wa kitu cha wizi isipokuwa hatua paswa kuchukuliwa ni kuhukumiwa tu..!!
Mkataba hauna ukomo, ni hoja ya kila mtu. Mbona nayo haijajibiwa?

Mgawanyo wa jinsi gani tutapata share haikuwekwa wazi. Basi inabidi CCM watumie wataalamu kueleza kwamba uwenda itasemwa hapo baadaye au kuna sababu kadhaa kadhaa kutosemwa.

Chakushangaza, watetezi wa CCM ni Steve Nyerere, ambaye hata wasanii wenzake hawamkubali popote, hata kwenye sekta ya usemeji walimkataa. Ndo CCM inampa airtime kusemea mambo mazito.

Mtu kama Manara, huyo ndo karibu kabisa kwa maelezo yake yamejaa na ubaguzi ndani yake, kwamba watu wa mikoani hawaruhusiwi kuhoji bandari. Are we serious?

CCM au Serikali ina watu wengi wa kuweza kueleza jambo likaeleweka. Wapo kama Mzee Adam Simbeye wa "This Week in Perspective" na wazee wa namna hiyo, wengi wasomi wanaoelewa masuala haya ya mikataba.

Linapokuja suala la mambo ya msingi ya nchi, tafadhali, akina Mwijaku, sijui Baba Levo, wakae kwenye miziki na media huko. Mambo ya msingi wataalamu wawaeleze wananchi kinaga ubaga, kuliko kuwatumia watu watakao watibua watu au kuwa misled na serikali ikaeleweka visivyo, kumbe si lengo la serikali waseme hivyo.
Wewe una majibu?
Ushauri wangu:

1. Kama tumekaa na TICTS miaka zaidi ya 20, aongezewe mwaka mmoja. Huku serikali na wadau waanze kuufanya mchakato upya kwa kutangaza magazeti ya serikali na kwenye televisheni ya Taifa. Kiwepo kipindi maalumu cha kuuelezea mkataba kwa Kiswahili tu na kidadavuliwe na wataalamu. Ifanyike hivyo kila wiki mara tatu kwa muda maalumu ndani ya wiki 52.
Unalemba nini? Kwanini unazunguka mbuyu?

Kuwa straight tu kwa kusema "mkataba huu ni mbaya, ni mkataba ambao Wazanzibari hawa (Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wizara ya ujenzi) wameamua kumpa mwaraabu bandari zetu za Tanganyika bure na unavunja sheria na katiba yetu pamoja na muungano!!
2. Mwekezaji naye aelezwe kwamba kuna ABCD tunataka wananchi waelezwe, ili kuzuia baadae asije kuwa raisi wa kariba ya wale wasiofuata sheria kama fulani, akaufutilia mbali.
Huyu DP World amekosa sifa ya kufanya biashara na Tanzania, anapaswa kuwa disqualified moja kwa moja kwa kuwa dhamira yake si njema. Na kuna kila dalili kuwa ametumia njia za kimafia kutaka kuingia nchini kwetu kuja kupora rasrimali za nchi huru nyingine kwa kumdanganya na kumlaghai Rais wetu Samia Suluhu Hassan ili aiuze Tanganyika kwao..

Na kuna kila sababu mtu kuamini kuwa Rais Samia na wenzake huko serikalini WAMEHONGWA ili kumsaidia mwaaarabu huyu kuchukua sehemu ya nchi ya Tanganyika. Tumeshituka. Hatutaki ukoloni wa namna hii..!!
Mwisho, Tanzania ni zaidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar, Tanganyika, ACT, Uislamu, Ukristo, au Upagani.
Sema; Tanzania ni zaidi CCM. Sio hivi ulivyosema hapo☝️☝️.

Tofauti na CCM, hawa CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF nk nk ni wazalendo kwelikweli maana wameona uhuni na ujinga uliotakwa kufanywa na nyie CCM na kuupigia kelele kuukataa...!
 
Inasikitisha sana, mtu mwenye mindset za " Leo Tena" kujaribu kushawishi umma kwenye suala la DP World. Nchi imekaa kishangingi sana .
 
Habari za siku nyingi, nimekuwa kimya kidogo tokea sakata la bandari limeanza.

Uwekezaji ni mzuri sana, hasa unapofuata misingi sahihi. Hasa kwa bandari zetu, hizi zinataka mapinduzi makubwa sana kutoa au kuondoa ukiritimba uliopo. Hivyo siwezi kupingana na aliyeleta hoja ya kuwakaribisha wawekezaji, japo naweza pingana naye kwa namna sakata linavyopelekwa au lilivyobebwa.

A. Kwanini naunga mkono hoja?

Bandari yetu imekuwa ni ya hovyo sana kwa miaka mingi mno. Kupotea kwa mali za wateja, kuchelewa kwa huduma, kutozwa tozo zisizo sahihi, kuharibu mali wakati wa utoaji. Kwenye suala la mwekezaji bandarini, isiishie kwenye kuleta mikono ya kupakua mizigo au kuweka tehama tu. Bali hata usimamizi wa mapato na mchakato mzima wa kumtoza mteja uwe wazi na makusanyo yaelekee sehemu husika.

B. Mapungufu katika mchakato mzima

Natambua fika kwamba wenye bandari, sisi ndio ilibidi tuande draft ya jinsi gani tunataka bandari iendeshwe, alafu tumpe anayekuja kuwekeza. Najua hilo litakuwa limefanyika, ila kama yamefanyika, basi zitakuwa zimepitiwa hatua hizi.

Mwenye bandari, sisi ndio ilibidi kuandaa proposal na tena kuna hatua:

1. Unaandaa hadidu za rejea, yaani terms of reference (TOR).
2. Unaandaa tangazo ili wazabuni waombe kufuatana na vigezo vyako kwenye Hadidu za rejea.
3. Unatangaza tenda ili watoa huduma waombe kufuatana na vigezo vya kwenye Hadidu za rejea.
4. Mnafungua tenda mbele ya wazabuni.
5. Mnachuja wazabuni kufuatana na vigezo.
6. Mkimpata anayewafaa, mnamfahamisha kupitia offer letter.
7. Anajibu offer letter.
8. Wewe mwenye zabuni, ambaye ndiye unahitaji huduma, unaandaa mkataba. Unawapa draft upande wa pili, nao wanaupitia. Wakikubaliana, mnasaini.

Nadhani huu utaratibu au unaofanana na huu ulifuatwa. Tunasubiri CAG akija kwenye ukaguzi, asije kusema trilioni kadhaa zilipotea kwa sababu ya kutofuata taratibu za mkataba.

C. Udini na ukanda

Ukiwasikiliza vijana wengi mtandaoni kwa sasa, hawajibu hoja bali hisia zimejengeka tayari ndani yetu au yao. Kwamba Wazanzibar wanauza Tanganyika, wakati huo huo Wazanzibar wanatetea hata kila lisilotetewa kisa watekelezaji wanatoka upande wao. Hapa ningeshauri kwanza vijana wazichambue hoja zote za msingi, tuweke ukanda na udini pembeni ili sasa tuongee points. Juzi kuna sheikh mmoja nimemuona anamparua Prof Issa Shivji, kama mtoto mdogo bila kujua mzee Shivji ni miongoni mwa wanazuoni 7 waliopewa direct approach Ikulu na kutoa maoni. Na katika maoni ambayo huwa yanazingatiwa sana ni ya Issa. Anatokea mtu anajiita Sheikh, bila kujibu hoja, anambagua kwa rangi yake. Hilo suala halikuwa sahihi kabisa. Masheikh na Maaskofu, umakini katika kuyaongelea masuala ya msingi kama haya, hasa nisifiche mme-pwaya.

D. CCM inatumia watu wa hovyo kufikisha ujumbe

Chama changu pendwa cha CCM, mmetumia watu wa hovyo sana kufikisha ujumbe au kuelimisha jamii. Nina mifano:

- Hili suala la uwekezaji au ubinafsishaji kwenye bandari, wapinzani wametupiga bao kwenye kutumia watu wajanja na wajuzi wa mambo kudadavua undani. Na ndio maana kila mwananchi wa kawaida anadhani au anajua bandari imeuzwa tayari, kwakuwa wamejadili masuala ya msingi. Na hata wasio wapinzani wamejadili mambo ya msingi haswa.

Mfano, Mama Anna Tibaijuka alieleza kwa kina juu ya usalama wa anga (airspace). Kwamba mkataba, kwa kipengele alichosoma, kuna sehemu inasema kwamba bandarini pale, sehemu kadhaa ft kadhaa kwenda juu, hatutakuwa na mamlaka nayo. Hili suala halijajibiwa zaidi ya kusema na kushambuliwa kwamba ESCROW ni ya Tibaijuka. Mara anamtetea Karamagi wa TCTS. Je, hoja yake imejibiwa?

Lissu yeye kazungumzia suala la watakapokuwa na bandari kavu, hatutaruhusu kujenga feeder roads. Kashambuliwa kwa matusi. Je, hoja hii imejibiwa?

Mkataba hauna ukomo, ni hoja ya kila mtu. Mbona nayo haijajibiwa?

Mgawanyo wa jinsi gani tutapata share haikuwekwa wazi. Basi inabidi CCM watumie wataalamu kueleza kwamba uwenda itasemwa hapo baadaye au kuna sababu kadhaa kadhaa kutosemwa.

Chakushangaza, watetezi wa CCM ni Steve Nyerere, ambaye hata wasanii wenzake hawamkubali popote, hata kwenye sekta ya usemeji walimkataa. Ndo CCM inampa airtime kusemea mambo mazito.

Mtu kama Manara, huyo ndo karibu kabisa kwa maelezo yake yamejaa na ubaguzi ndani yake, kwamba watu wa mikoani hawaruhusiwi kuhoji bandari. Are we serious?

CCM au Serikali ina watu wengi wa kuweza kueleza jambo likaeleweka. Wapo kama Mzee Adam Simbeye wa "This Week in Perspective" na wazee wa namna hiyo, wengi wasomi wanaoelewa masuala haya ya mikataba.

Linapokuja suala la mambo ya msingi ya nchi, tafadhali, akina Mwijaku, sijui Baba Levo, wakae kwenye miziki na media huko. Mambo ya msingi wataalamu wawaeleze wananchi kinaga ubaga, kuliko kuwatumia watu watakao watibua watu au kuwa misled na serikali ikaeleweka visivyo, kumbe si lengo la serikali waseme hivyo.

Ushauri wangu:

1. Kama tumekaa na TICTS miaka zaidi ya 20, aongezewe mwaka mmoja. Huku serikali na wadau waanze kuufanya mchakato upya kwa kutangaza magazeti ya serikali na kwenye televisheni ya Taifa. Kiwepo kipindi maalumu cha kuuelezea mkataba kwa Kiswahili tu na kidadavuliwe na wataalamu. Ifanyike hivyo kila wiki mara tatu kwa muda maalumu ndani ya wiki 52.

2. Mwekezaji naye aelezwe kwamba kuna ABCD tunataka wananchi waelezwe, ili kuzuia baadae asije kuwa raisi wa kariba ya wale wasiofuata sheria kama fulani, akaufutilia mbali.

Mwisho, Tanzania ni zaidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar, Tanganyika, ACT, Uislamu, Ukristo, au Upagani.
Kwa kweli nimesoma hadi raha. Nadhani hakuna mwenye ujuzi anaweza kutetea hii MoU ndiyo maana hao wasanii wamekuwa wasemaji. Asante sana kwa kutoa muelekeo wa hili swala
 
Kama hatujui uendeshaji wa bandari wa kisasa tutaandika nini sisi tuliozoea umepitwa na wakati. Wao ndio waandike wataendeshaje.
Ujinga ni kuitaka huduma ambayo hujui utahudumiwa vipi.
 
Serikali ilinunua mabehewa ya mtumba tukapiga kelele weeee lakini waliponunua mabehewa haya ya gorofa mbona kila mmoja alifurahi serikali ijitathinini sana. Urais wa mwishi 2025 sa100
 
Habari za siku nyingi, nimekuwa kimya kidogo tokea sakata la bandari limeanza.

Uwekezaji ni mzuri sana, hasa unapofuata misingi sahihi. Hasa kwa bandari zetu, hizi zinataka mapinduzi makubwa sana kutoa au kuondoa ukiritimba uliopo. Hivyo siwezi kupingana na aliyeleta hoja ya kuwakaribisha wawekezaji, japo naweza pingana naye kwa namna sakata linavyopelekwa au lilivyobebwa.

A. Kwanini naunga mkono hoja?

Bandari yetu imekuwa ni ya hovyo sana kwa miaka mingi mno. Kupotea kwa mali za wateja, kuchelewa kwa huduma, kutozwa tozo zisizo sahihi, kuharibu mali wakati wa utoaji. Kwenye suala la mwekezaji bandarini, isiishie kwenye kuleta mikono ya kupakua mizigo au kuweka tehama tu. Bali hata usimamizi wa mapato na mchakato mzima wa kumtoza mteja uwe wazi na makusanyo yaelekee sehemu husika.

B. Mapungufu katika mchakato mzima

Natambua fika kwamba wenye bandari, sisi ndio ilibidi tuande draft ya jinsi gani tunataka bandari iendeshwe, alafu tumpe anayekuja kuwekeza. Najua hilo litakuwa limefanyika, ila kama yamefanyika, basi zitakuwa zimepitiwa hatua hizi.

Mwenye bandari, sisi ndio ilibidi kuandaa proposal na tena kuna hatua:

1. Unaandaa hadidu za rejea, yaani terms of reference (TOR).
2. Unaandaa tangazo ili wazabuni waombe kufuatana na vigezo vyako kwenye Hadidu za rejea.
3. Unatangaza tenda ili watoa huduma waombe kufuatana na vigezo vya kwenye Hadidu za rejea.
4. Mnafungua tenda mbele ya wazabuni.
5. Mnachuja wazabuni kufuatana na vigezo.
6. Mkimpata anayewafaa, mnamfahamisha kupitia offer letter.
7. Anajibu offer letter.
8. Wewe mwenye zabuni, ambaye ndiye unahitaji huduma, unaandaa mkataba. Unawapa draft upande wa pili, nao wanaupitia. Wakikubaliana, mnasaini.

Nadhani huu utaratibu au unaofanana na huu ulifuatwa. Tunasubiri CAG akija kwenye ukaguzi, asije kusema trilioni kadhaa zilipotea kwa sababu ya kutofuata taratibu za mkataba.

C. Udini na ukanda

Ukiwasikiliza vijana wengi mtandaoni kwa sasa, hawajibu hoja bali hisia zimejengeka tayari ndani yetu au yao. Kwamba Wazanzibar wanauza Tanganyika, wakati huo huo Wazanzibar wanatetea hata kila lisilotetewa kisa watekelezaji wanatoka upande wao. Hapa ningeshauri kwanza vijana wazichambue hoja zote za msingi, tuweke ukanda na udini pembeni ili sasa tuongee points. Juzi kuna sheikh mmoja nimemuona anamparua Prof Issa Shivji, kama mtoto mdogo bila kujua mzee Shivji ni miongoni mwa wanazuoni 7 waliopewa direct approach Ikulu na kutoa maoni. Na katika maoni ambayo huwa yanazingatiwa sana ni ya Issa. Anatokea mtu anajiita Sheikh, bila kujibu hoja, anambagua kwa rangi yake. Hilo suala halikuwa sahihi kabisa. Masheikh na Maaskofu, umakini katika kuyaongelea masuala ya msingi kama haya, hasa nisifiche mme-pwaya.

D. CCM inatumia watu wa hovyo kufikisha ujumbe

Chama changu pendwa cha CCM, mmetumia watu wa hovyo sana kufikisha ujumbe au kuelimisha jamii. Nina mifano:

- Hili suala la uwekezaji au ubinafsishaji kwenye bandari, wapinzani wametupiga bao kwenye kutumia watu wajanja na wajuzi wa mambo kudadavua undani. Na ndio maana kila mwananchi wa kawaida anadhani au anajua bandari imeuzwa tayari, kwakuwa wamejadili masuala ya msingi. Na hata wasio wapinzani wamejadili mambo ya msingi haswa.

Mfano, Mama Anna Tibaijuka alieleza kwa kina juu ya usalama wa anga (airspace). Kwamba mkataba, kwa kipengele alichosoma, kuna sehemu inasema kwamba bandarini pale, sehemu kadhaa ft kadhaa kwenda juu, hatutakuwa na mamlaka nayo. Hili suala halijajibiwa zaidi ya kusema na kushambuliwa kwamba ESCROW ni ya Tibaijuka. Mara anamtetea Karamagi wa TCTS. Je, hoja yake imejibiwa?

Lissu yeye kazungumzia suala la watakapokuwa na bandari kavu, hatutaruhusu kujenga feeder roads. Kashambuliwa kwa matusi. Je, hoja hii imejibiwa?

Mkataba hauna ukomo, ni hoja ya kila mtu. Mbona nayo haijajibiwa?

Mgawanyo wa jinsi gani tutapata share haikuwekwa wazi. Basi inabidi CCM watumie wataalamu kueleza kwamba uwenda itasemwa hapo baadaye au kuna sababu kadhaa kadhaa kutosemwa.

Chakushangaza, watetezi wa CCM ni Steve Nyerere, ambaye hata wasanii wenzake hawamkubali popote, hata kwenye sekta ya usemeji walimkataa. Ndo CCM inampa airtime kusemea mambo mazito.

Mtu kama Manara, huyo ndo karibu kabisa kwa maelezo yake yamejaa na ubaguzi ndani yake, kwamba watu wa mikoani hawaruhusiwi kuhoji bandari. Are we serious?

CCM au Serikali ina watu wengi wa kuweza kueleza jambo likaeleweka. Wapo kama Mzee Adam Simbeye wa "This Week in Perspective" na wazee wa namna hiyo, wengi wasomi wanaoelewa masuala haya ya mikataba.

Linapokuja suala la mambo ya msingi ya nchi, tafadhali, akina Mwijaku, sijui Baba Levo, wakae kwenye miziki na media huko. Mambo ya msingi wataalamu wawaeleze wananchi kinaga ubaga, kuliko kuwatumia watu watakao watibua watu au kuwa misled na serikali ikaeleweka visivyo, kumbe si lengo la serikali waseme hivyo.

Ushauri wangu:

1. Kama tumekaa na TICTS miaka zaidi ya 20, aongezewe mwaka mmoja. Huku serikali na wadau waanze kuufanya mchakato upya kwa kutangaza magazeti ya serikali na kwenye televisheni ya Taifa. Kiwepo kipindi maalumu cha kuuelezea mkataba kwa Kiswahili tu na kidadavuliwe na wataalamu. Ifanyike hivyo kila wiki mara tatu kwa muda maalumu ndani ya wiki 52.

2. Mwekezaji naye aelezwe kwamba kuna ABCD tunataka wananchi waelezwe, ili kuzuia baadae asije kuwa raisi wa kariba ya wale wasiofuata sheria kama fulani, akaufutilia mbali.

Mwisho, Tanzania ni zaidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar, Tanganyika, ACT, Uislamu, Ukristo, au Upagani.
Mkuu
Heshima kwako sana sana.
Umeumiza kichwa kuleta udadavuzi wenye kuchochea fikra tunduizi ktk suala la bandari zetu.

Natumaini bibi FaizaFoxy akipita hapa ataelimika na kujipa nafasi ya kutafakari maslahi ya nchi anapozunfumzia huu mkataba wa Makubaliano
 
Maada nzuri ila ulituambia kuwa " Kama Urusi itaivamia Ukraine basi una left jf" . Hujatekeleza.

Sasa nikukosoe kidogo kwa nia ya kujenga kujenga

1. Wanaopinga kuuzwa bandari sio wapinzani bali ni watanganyika wote kwa ujumla bila kujali itikadi wala dini zao. Rejea shekhe Ponda

2. Wanaounga mkono ni wazanzibar kwa kuwa mama ni wa kwao waziri na katibu wa wizara pia.

3. Watanganyika wanaounga mkono ni wanne tu waliohongwa ili tumbo zao zishibe. Nao form two dropouts Kitenge, Zembwela, Baba Levo na Manara.

Usitugawe watanganyika kwenye hili tumeungana hatutaki kuuzwa.

Tunahitaji uwekezaji wenye tija.

Mkataba ufutwe tutoe masharti sisi siyo wao.
Ok
 
Mkuu
Heshima kwako sana sana.
Umeumiza kichwa kuleta udadavuzi wenye kuchochea fikra tunduizi ktk suala la bandari zetu.

Natumaini bibi FaizaFoxy akipita hapa ataelimika na kujipa nafasi ya kutafakari maslahi ya nchi anapozunfumzia huu mkataba wa Makubaliano
Naam
 
Back
Top Bottom