Baada ya kimya kingi nami nitie neno DP World, Mtazamo wangu ni Tofauti kidogo

Sasa britanica kutozwa tozo sisizo sahihi ndio Kweli kuwapa bandari zote waarabu

Ufanisi upo Ni hujuma tu ndio yametufikisha hapa
 
we ndio walewale huna unachojua, leta ushahidi na unayoyasema. Waziri alieleza kila kitu kinagaubaga km hamkumwelewa mkarejee maelezo yake. Au nyie mnataka muwe na serikali yenu zaidi ya iliyo madarakani? Tuwaamini viongozi wetu.
Tafadhali yaweke maelezo ya Waziri hapa ili tujiridhishe kuwa unayafahamu nasi tutakupa yale tunayoyafahamu ambayo yanakinzana na mkataba na Katiba au taratibu za makubaliano kama haya.
 
Nilipoona tu maoni TICS aongezewe mwaka mmoja nimeshajua kuwa wewe ni wale wale msiolitakia mama taifa hili mnaotaka kuendelea kutupiga pale bandarini
 
Noted at first
 
Sahih kbsa , bila kumsahau Gerald hando njaa kali
 
Maelezo mazuri sana ila nina swali la nyongeza kwako Britanica, kwanini hujagusia Bunge na Spika?
 
Mwambie auze Zanzibar

TANGANYIKA ni ya watanganyika

Haijalishi ameshirikiana na kile kikundi cha mstaafu
Nasikia tunakomoana kwa vile nae mwinyi kauza kisiwa Chao

Kuna harufu ya kukomoana hapa
 
Sasa mm Ni ccm Sofia Ni kilaza kuongea tu anatetemeka

Bora Yule aliyetumia mkorogo
 
Hivi nani anawapa hawa watu kama wakina steve nyerere sijui manara
Kujibu mambo mazito

Ova
Ndio taifa lilipo fikia kwenye ku digest mambo critical mkuu
Hao ndio wana eleza uhalisia ulivyo
 
Napata hisia na maswali mengi sana kuhusu huu mkataba ulivyojengwa nafikia mahali naona kama ule mkataba wa Bandari ya Bagamoyo unatafutiwa upenyo wa kuutekeleza nini? (kupitia Dp World)
 
Siikweli kwamba ccm hawana watu makini wa kuutolea ufafanuzi huu mkataba hata wawaachie manara na stvu
Ukweli ni kwamba ccm nichama kiricho sheheni vijana wengi tu wenye uwezo mkubwa kwenye majukwaa ya kisiasa hasa linapokuja swala la kuitetea sarikali ndipo huwa nguvu ya uvc ccm utaijuwa

Lakini kwa hili la mkataba wa DP hata uvc nikama wamelisusa naamini aina ya huu mkataba na na namna mchakato ulivyo endeshwa wa kumpata huyo muarabu unawapa wakati mgumu nanamna ya kuanza kuutetea

Naamini njia pekee ya Mtanzania yoyote ambayo unaweza kuitumia ili tu uutetee huu mkataba inabidi ujifyatuwe akili kwanza

Hivyo ndio maana hata uvc ccm kwa kuwa wao pia niwazalendo wa nchi hii inawapa wakati mgumu wa kuutetea huu mkataba na njia pekee walio ichaguwa ni kukaa kimya tu ili kulinda heshima ya chama

Wahenga walisema ukimya wa lafiki yako unaumiza kuliko kelele za adui yako hivyo naamini ukimya wa uvc kwa nyakati hizi ambazo serikali ya ccm inapitia joto hili ni dalili mbaya kabisa kuhi kutokea
 
Umeongea vzr sana na kwa kweli inaleta sana kichefuchefu kumsikiliza mtu kama steve nyerere,Haji manara ila mm naamini kilaza hatumwi anajituma mwenyewe wale vijana wanawinda teuzi tu,na wamejisahau wanadhani watateuliwa jambo ambalo halipo.na CCM yenyewe ndio inaongoza kwa wizi pale bandarini.
 
Mama SAMIA anaweza akawa na nia njema na Bandari sasa namna ya kupitisha nia njema hiyo ndio msaada unahitajika sana,Kumbuka wanaojiita wanaCCM ndio Hawataki kabisa kusikia wanalipishwa kodi bandarini na ndio wengi wanaopitisha mizigo yao pale bandarini na kuiba vitu vya watu na makonntena sasa kuna biashara kweli hapo.
 
,πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Za uso
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
britanicca πŸ™πŸ™πŸ™
 
Uwekezaji wa Dp world ni mzuri chamsingi maslahi ya watz yawe wazi,kusiwe na sintofaham!

TANZANIA kwanza,Mungu ibariki TANZANIA!!
Mkataba huu ni wa kihuni na hautufai . Ni kutokana na uhuni walioufanya kutaka kufanya uporaji hao DPW hatuwataki tena. Na kama wapo watz wanaowataka basi wawafuate huko huko kwao lakini kuwekeza hapa tz ni No
 
Hivi nani anawapa hawa watu kama wakina steve nyerere sijui manara
Kujibu mambo mazito

Ova
Uwezo wa viongozi wa nchi hii kutafakari Mambo uko chini Sana. Wao wanaona Wananchi wanapaswa kupelekewa watu wanaofanana nao. Watu hao ndo kina Mwijaku, Stive Nyerere, Kitenge, Manara and the likes. Wanawaona Watanzania wote ni low grade minded kama hao Chawa wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…