Baada ya kubainika ufisadi wa kutisha, anataka kujifichia kwenye Mradi Bandari ya Bagamoyo?

Baada ya kubainika ufisadi wa kutisha, anataka kujifichia kwenye Mradi Bandari ya Bagamoyo?

Hakika MATAGA safari hii lazima mtoane macho maana kila mtu anajitahidi kukimbia kujitoa kwenye chumba chenye uchafu na uozo mlichokikalia kwa miaka 6.

Ndugaye yeye kesha wakimbia maana ana platform ya kujielezea na watu wakamsikia.
Wewe nawe unamatatizo Sana, na sjui Kwa nini huwa sikupendi kuliko wanajamvi wote hapa, sjawahi kujua nini sababu, leo imenibidi nikwambie tu aisee!!

Mmawia, sikupendi vibaya Sana aisee
 
Huyu Speaker wetu nadhani Haijapata kutokea wa namna hii toka Dunia hii iumbwe.. "Huyu Huyu Ndie alikuwa anasema Mwendazake Hatake Hasitake Hataongezewa Muda" Wenye ile Clip ebu tuwekeeni. Ni aibu sana Kwa CCM maana hii nafasi huyu mtu wetu Inampwaya sana...
Inaonyesha ni jinsi gani kuwa mteuzi wao alikuwa anawabana ili wakubali kila jambo alilokuwa analihitaji.

Leo hii kaondoka watu wameanza kurudi kwenye uhalisia wa akili zao.

Nina patwa na mashaka hata ule uamuzi wa kumvua ubunge mh Lissu ulikuwa ni wa spika au ilikuwa ni maagizo kutoka kwa jiwe.
 
Wewe nawe unamatatizo Sana, na sjui Kwa nini huwa sikupendi kuliko wanajamvi wote hapa, sjawahi kujua nini sababu, leo imenibidi nikwambie tu aisee!!

Mmawia, sikupendi vibaya Sana aisee
Mimi ndiyo kabisa na nakuombea corona ikupitie
 
Eti, Raisi hakushauliwa vizuri kuhusu mradi wa ujenzi bandari ya Bagamoyo, Wakati huohuo yeye ndiye mshauri mkuu wa serikali, alikuwa wapi?

Raisi wetu amefariki ndo kunakupa mwanya wa kumwandama na kumkandia kila Neno Baya, sasa tunataka mtwambie kama Kweli kazi yenu ni kuishauli serikali na kuisimamia

Kabla ya tamko lake Jana kuhusu ujenzi na uwekezaji wa bandari ya Bagamoyo, aliwahi pia kutamka kwamba, mradi huo ni hasara Kwa Serikali Kwa jinsi Mkataba wake ulivyo kaa, na kama ndivyo, yeye ndiye ametufanya kama Taifa tuchelewe kuwa na mradi huo,

Sasa Sisi tushike lipi??

Najiuliza, Yeye kama mkuu wa mhilimili huo, anaongoza chombo chenye kazi ya kuishauli na kuisimamia serikali, Alikuwa wapi, mbona alitaka Raisi aongezewe muda wa kutawala? Si ni yeye jamani au ni mwingine!! Je, hakuwa analiona tatizo la ufisadi uliokuwa unaendelea?

Kwa tarifa ya CAG imeibua madudu makubwa na ufisadi wa kutisha, badara ya yeye na mawaziri wote kama sio Bunge loote kuwajibike Kwa kushindwa kuisimamia serikali anaibuka na Jambo la ajabu tu ili kutuondoa kwenye Hilo la ufisadi, hivi mnaaibu kweli nyinyi watu!

Tukionyesha hasira zetu wananchi tuliowatuma kwenda kusimamia rasilimali zetu mnatutumia wasiojulikana, ni Sawa Kwani kufa ni kutangulizana Tu

Tunalitaka Bunge liwajibike katika hili, la sivyo mtuambie ni Kwa nini mlitaka Raisi aongezewe muda

Tunataka pia, mradi wa Ujenzi bandari ya Bagamoyo, Mkataba wake uwekwe mezani tuambie yaliyomo na Kisha Bunge loote livunjwe, Kwani ni hasara tupu!!

Acha tupige 🏋️🏋️🏋️

Kumbe hamuaminiki tena!!
[/QUOT
 
Huyu sabufa alituambia Mwendazake ataongezewa muda atake asitake!
Leo anakuja na porojo za Bandari ya Bagamoyo kwamba ushauri ulikua mbaya je yeye sio sehemu ya kuishauri Serikali ile?
Vigeugeu wa aina hii ni hatari sana kwa Maendeleo y Nchi yetu.

Watake wasitake Mwendazake alikua Shujaa na mzalendo w kweli wa Nchi yetu, Maziko yake yamedhihirisha mapenzi makubwa ambayo Watanzania walikua nayo juu yake.

Pumzika kwa Amani John.
 
Inaonyesha ni jinsi gani kuwa mteuzi wao alikuwa anawabana ili wakubali kila jambo alilokuwa analihitaji.

Leo hii kaondoka watu wameanza kurudi kwenye uhalisia wa akili zao.

Nina patwa na mashaka hata ule uamuzi wa kumvua ubunge mh Lissu ulikuwa ni wa spika au ilikuwa ni maagizo kutoka kwa jiwe.
Ni sipeeka
 
Kwa kumbukumbu zangu Ndugai alisema bungeni akiwa ktk kiti cha spika kwamba mradi wa Bagamoyo ni wa faida sana ameupitia kwa kina Mpaka huko China.

Baada ya muda mfupi Hayati akaukandia kwa kutoa nukuu ya vipengele kadhaa vya kiunyonyaji ambavyo sisi wananchi hatujui kama ni kweli au sivyo.Hapo ndipo Ndugai ikabidi atumie kanuni ya The boss is always right

Binafsi Siamini yale yaliyosemwa na JPM juu ya mradi huo wala yanayosemwa na wanaoutaka sasa Mpaka nipate "bahati"ya kusoma mkataba huo.

Serikali iruhusu mikataba yenye mivutano kama huu upelekwe bungeni kwa mjadala hapo sisi wananchi tutajua mbivu na mbichi
Kweli kabisa, Ndugai aliusifia sana huu mradi na hadi akawa anaishangaa serikali inataka nini cha zaidi. Meko alipoibuka na kuuponda hatariiiii, bwana Ndugai akawa mpole na sikumbuki kama aliwahi kuusemea tena.
 
Mikataba mingapi ishawah pelekwa Bungeni ? Tuanzie hapo .
Watu wakitaka mkataba huu wa bagamaoyo upelekwe bungen litakuwa Jambo zuri ambapo wengine pia watahitaji mikataba yote sasa iwe waz kuanzia ununuz wa ndege ,ujenz wa uwanja wa ndege wa chato ,mikataba ya sgr .

Hapa Sasa ndipo utaona nyeti za watu wazwaz kuwa kumbe huyu hamna kitu huyu alikuwa sahihi.

Narudia tena hakuna mwanasiasa msafi hasa hawa wa tz ,nawashangaa sana wanaomwimba jiwe kuwa alikuwa shujaa ,yaan nashangaa sana sijui ni kutojua mambo yanavyoenda .
Jk ,mkapa ,na jiwe wote ni wez waliotukuka tena Bora hata jk alikuwa anaiba lakin anakumbuka na wananchi kidogo ila sio huyo jiwe ni alikuwa fisad wa kutupwa pia akawatesa wananchi wake kwa kujificha nyuma ya neno uzarendo ,kmmk
"Kaa tu mbwe" in Jiwe's voice.
 
Hawaminiki tena vipi??? mlikua mnashauriwa hamtaki mnapiga watu risasi mchana kweupe nakubambikia kesi kila aliewaambia ukweli mkamuita msaliti nakutuimbia mapambio kila mahali. niwew pekeako nauzembe wako ndo ulikua unawaamin

yaan hovyo kabisa
 
Huyu Speaker wetu nadhani Haijapata kutokea wa namna hii toka Dunia hii iumbwe.. "Huyu Huyu Ndie alikuwa anasema Mwendazake Hatake Hasitake Hataongezewa Muda" Wenye ile Clip ebu tuwekeeni. Ni aibu sana Kwa CCM maana hii nafasi huyu mtu wetu Inampwaya sana...
Hatake Hasitake Hataongezewa! Mpaka ulilokusudia kusema limekuwa kinyume!
Sasa ondoa hizo "H" kila neno utapata unacho kusudia.
 
Umesahau biashara ya manunuzi ya wabunge 19 "Covid 19" aliyoshiriki huku akijua wazi anaivunja KATIBA. Nusrat Henje kutoka gerezani, moja kwa moja bungeni kuapishwa. Hili alilifanya kwa mwavuli wa Meko, sasa anaona Madam President mtazamo wake ni tofauti na ule wa mwendazake anaanza kujisogeza kwa mama.
 
Huyu Speaker wetu nadhani Haijapata kutokea wa namna hii toka Dunia hii iumbwe.. "Huyu Huyu Ndie alikuwa anasema Mwendazake Hatake Hasitake Hataongezewa Muda" Wenye ile Clip ebu tuwekeeni. Ni aibu sana Kwa CCM maana hii nafasi huyu mtu wetu Inampwaya sana...
Rekebisha kiswahili mkuu. Kiswahili kizuri ni "Atake asitake, ataongezewa muda" SIYO "Hatake hasitake, hataongezewa muda" Comment yako imepoteza maana kabisa.
 
Umesahau biashara ya manunuzi ya wabunge 19 "Covid 19" aliyoshiriki huku akijua wazi anaivunja KATIBA. Nusrat Henje kutoka gerezani, moja kwa moja bungeni kuapishwa. Hili alilifanya kwa mwavuli wa Meko, sasa anaona Madam President mtazamo wake ni tofauti na ule wa mwendazake anaanza kujisogeza kwa mama.
Unadhani mtu kama huyu anafaa??

Mtu mnafiki asiye na msimamo anafaa nini?
 
Huyu Speaker wetu nadhani Haijapata kutokea wa namna hii toka Dunia hii iumbwe.. "Huyu Huyu Ndie alikuwa anasema Mwendazake Hatake Hasitake Hataongezewa Muda" Wenye ile Clip ebu tuwekeeni. Ni aibu sana Kwa CCM maana hii nafasi huyu mtu wetu Inampwaya sana...
Anaangalia maslai yake
 
Back
Top Bottom