Baada ya kufanya nae mapenzi aliniachia laki moja na ujumbe unaosomeka "nimepata ninachotaka"

Baada ya kufanya nae mapenzi aliniachia laki moja na ujumbe unaosomeka "nimepata ninachotaka"

Hali vipi wana JF!

Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu :

👉Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei ya kawaida,

👉Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila asubuhi aliwahi kuondoka kabla yangu baadae naamka mzee nakuta laki moja mezani kuingia kwenye phone nakuta message inasomeka kama kwnye screenshot hapo chini👇


👉Sasa sijajua Huyu bidada tulijibishana message za mbili, hakujibu tena nadhani alinitia block maana Kila nilipo piga siku nilikuta inatumika

👉Sasa swali ni je hiyo laki kaacha ya nini 👉hiyo message Ina maana gani?

Maana kama ni kupima ngwengwe(HIV na STD's zingine no nimekuta) fresh

Sasa wataalamu atakua na maana gani 🤔

View attachment 3216781
Tuelekeze unapenda kuzikwa wapi
 
Ulimjulia wapi, kwa muda gani, urafiki wenu mlikutana wapi mpaka mnakuja kuvuana nguo?? Hujui anapokaa, abapopatikana, anapofanyakazi etc...au uliopoa wale wa usiku??
 
Ushapoteza mtoto kwa laki 1, Kuna Dada nilisoma naye High school miaka hiyo akaenda Sweden kusoma, akakaa huko akazaa, akaachika, akaja Tanzania kutembea, akaniomba uja uzito hata kwa pesa, ila kamwe nisiulizie mtoto, labda huko baadae yeye aone haja ya mtoto kunifaham, nikagoma kabisa!
Hell no
 
Ulimjulia wapi, kwa muda gani, urafiki wenu mlikutana wapi mpaka mnakuja kuvuana nguo?? Hujui anapokaa, abapopatikana, anapofanyakazi etc...au uliopoa wale wa usiku??
Sio wa usku mkuu nimemjua for three months, tulikutana dukani nikiwa nimeenda kununua bidhaa
Mdada anaamka anavaa anaiacha pesa mezani wewe uko usingizini bado,wenzetu mnalalaje hivyo ?

Ulalaji huo marinda yapo salama kweli?
Mwanangu JD wewe unawaza u-illuminati mzee mishe nayo piga niya sales hivi ulishawahi kutembeza product wewe, mtaa kwa mtaa door to door🤔unaujua mchoko wake
 
"...Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila asubuhi aliwahi kuondoka kabla yangu baadae naamka mzee nakuta laki moja mezani kuingia kwenye phone nakuta message inasomeka kama kwnye screenshot hapo chini👇..."

Utata unaanzia hapa. Unajuaje uko fresh wakati ni juzi tu umelala naye? She was probably looking for pregnancy or worse, nikimaanisha usijihakikishie usalama, majibu kamili ni mpaka miezi 3 kafanye confirmatory test ya HIV. Trump anazuia madawa nyie bado mnajiachia pekupeku? What's wrong with you?
 
Usimtafute wala kumfikiria tena, pia jitahidi usiwe na mawazo huku ukiangalia kama kuna mabadiliko yoyote.
Nb: Binadamu tunakufa mapema kutokana na hofu.
 
Back
Top Bottom