Baada ya kufikisha miaka 30 uligundua kimebadilika nini katika maisha yako?

Baada ya kufikisha miaka 30 uligundua kimebadilika nini katika maisha yako?

Nimebakisha miaka 4 kuingia 30.

Zamani tunakuwa tuliona miaka 30 ni mingi Sana ila sio kweli but it's just a stepping stone ni Mwanzo wa kuyaelekea Mafanikio Makubwa.

Jambo ambalo nimeona miaka 30 kwa TANZANIA Africa ndo Muda sahihi wa kujifanyia Self-Evaluation tathimini binafsi kwa kuangalia wapi ulikuwa wapi upo na wapi unahitaji ufike.

Pia katika miaka 30 unabidi kuwa una strong self-Image uwe unajitazama Kuanzia ndani yako kwa picha yenye ubora na ukubwa na hii itakupelekea kuwa na self-esteem kujikubali, na unapoanza kujikubali maana yake hautaendeshwa na nguvu kubwa kutoka nje ikiwemo kuzama katika Addiction (Uraibu) wowote Kama Pombe,wanawake, bangi n.k

Maana chanzo Cha Addiction ni kukosa kujiamini Kuanzia ndani yako hivyo unatafuta Nguvu kutoka nje ili ipate kukusaidia kukupa furaha ya Muda mfupi short pleasure, Aliyakuwa furaha huwa ipo ndani yako.

Mwisho miaka 30 itapendeza ikukute ukiwa tayari upo na ule uimara wa ndani wa kutokubali sauti kutoka nje yako kukuambia kuwa hauwezi au hauna thamani au kuchukuliwa poa.

Vijana wengi bado tunasumbuliwa na kitu kinaitwa Limp limp ni kutokuwa na uimara wa ndani hivyo tunabidi kuwa na Uelewa mzuri kuhusu limp maana ukiwa hauna uimara wa ndani utaogopa kujaribu fursa mbalimbali kwa kuamini hizo fursa zipo kwa ajili ya watu fulani .

Aging is inevitable live ur life Enjoy and cherish every single moment
Hongera.Upo muongo wa pili bado.Kumbe,I've grown old aisee!Ninaukata muongo wa tano hivihivi.😂
 
Members wengi humu under 35 na ndo wanaongoza kwa matusi na ujuaji mwingi[emoji16][emoji23]
Tukirudi kwenye hoja ya mtoa Mada 30 ni umri wakua umeshaoa angalau mtoto mmoja pamoja na kuisimamia na kuiongoza Familia kama unakipato Cha halali.
Kama wewe kipato chako ni Cha dhulma basi unapaswa Kuwa na vingi zaidi ya Hivyo hapo juu[emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Mwakani 2024 july , ndiyo nagonga napanda ghorofa ya 30 ,yaaani sina direction yoyote bali nipo najaribu mishe za udalali wa bidhaa za mbao......sijui ntatoboa ????!! Maana hata mdada wa uhakika , wa kummwagia. Shahawa zangu sina yaaaani dahhhh hata sielewiiiiii
Usikate tamaa mkuu. Utatoboa tu endelea kupambana
 
Nimebakisha miaka 4 kuingia 30.

Zamani tunakuwa tuliona miaka 30 ni mingi Sana ila sio kweli but it's just a stepping stone ni Mwanzo wa kuyaelekea Mafanikio Makubwa.

Jambo ambalo nimeona miaka 30 kwa TANZANIA Africa ndo Muda sahihi wa kujifanyia Self-Evaluation tathimini binafsi kwa kuangalia wapi ulikuwa wapi upo na wapi unahitaji ufike.

Pia katika miaka 30 unabidi kuwa una strong self-Image uwe unajitazama Kuanzia ndani yako kwa picha yenye ubora na ukubwa na hii itakupelekea kuwa na self-esteem kujikubali, na unapoanza kujikubali maana yake hautaendeshwa na nguvu kubwa kutoka nje ikiwemo kuzama katika Addiction (Uraibu) wowote Kama Pombe,wanawake, bangi n.k

Maana chanzo Cha Addiction ni kukosa kujiamini Kuanzia ndani yako hivyo unatafuta Nguvu kutoka nje ili ipate kukusaidia kukupa furaha ya Muda mfupi short pleasure, Aliyakuwa furaha huwa ipo ndani yako.

Mwisho miaka 30 itapendeza ikukute ukiwa tayari upo na ule uimara wa ndani wa kutokubali sauti kutoka nje yako kukuambia kuwa hauwezi au hauna thamani au kuchukuliwa poa.

Vijana wengi bado tunasumbuliwa na kitu kinaitwa Limp limp ni kutokuwa na uimara wa ndani hivyo tunabidi kuwa na Uelewa mzuri kuhusu limp maana ukiwa hauna uimara wa ndani utaogopa kujaribu fursa mbalimbali kwa kuamini hizo fursa zipo kwa ajili ya watu fulani .

Aging is inevitable live ur life Enjoy and cherish every single moment
Hujambo Mwanangu?
 
Umri huo ni wa kujiwekeza kweli kweli, iwe kiuchumi au kielimu. Una plan za kuwa daktari kama kina Musukuma then it's high time uende shule ukamalizie ukichotaka kufanya.

Ni umri wa kuanza/kumaliza mambo ya uzazi, kama ukichelewa kwenye 20s hukupata watoto, ndio mda pekee ulionao wa kuwatafuta.

Kiuchumi, aisee here is where unatakiwa kupigana kiume kabisa, kibongo hapa uwe na walau kiwanja, yaani kiwepo na uanze ujenzi kabla majukumu ya malezi/elimu hayajakutinga. Ni ngumu sana kujenga ukiwa na watoto huko "yellow-bus-schools".

Ukifika 40s uwekezaji uwe unaonyesha matunda, yaani kama ni ajira basi ipo na ya uhakika, kama ni investment zipo na zinatija coz ukichelewa hapo it will be almost too late to regroup yourself, utaishia kulaumu, kuomba siku zirudi nyuma ili ufix baadhi ya mambo.

Bahati mbaya sana, 20s naona wengi wa vijana wapo tu, yaani kijana yupo 26 anajiona bado mdogo sana, tena binti anakuambia kabisa yeye bado mdogo...dadeq!
 
Back
Top Bottom