Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndo?

Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndo?

Ilitakiwa aombe bumunda alipolipa mahari tu kama ni mchumba ambae hawakuwahi kutana kabla.

Kwa dunia ya leo lazima utest mitambo kwanza. Unaweza jifanya mtiifu, baada ya ndoa unakuta kumbe umeoa dume mwenzio anaefanania mwanamke..

1737913472286.jpeg

Huyu ni wa kiume,. Just so you know.
 
Ilitakiwa aombe bumunda alipolipa mahari tu kama ni mchumba ambae hawakuwahi kutana kabla.

Kwa dunia ya leo lazima utest mitambo kwanza. Unaweza jifanya mtiifu, baada ya ndoa unakuta kumbe umeoa dume mwenzio anaefanania mwanamke..
Wote hawajawahi kushiriki tendo, mwanamke bikra, mwanaume pia hajui nyapi ninapokaa na ilivyo
 
Habari, nimekuja kuwauliza kwa niaba ya rafiki yangu ambae kesho anafungana ndoa ila kichwani anawaza sana akae siku ngapi baada ya kufunga ndoa ndipo afanye tendo na mke wake? Nimemwambia afanye tendo usiku wa ndoa yeye akasema anaogopa mke wake akamuwazia vibaya kwamba alimuoa kwa tamaa za kimwili na kwamba ni malaya.
Mpenzi ushauri jamaa
N. B MIKI NI KATAA NDOA
Kama mkeo ni bikira hutapata shida lakini kama aliondolewa ubikira hatakuelewa pamoja na nia yako nzuri.
 
Back
Top Bottom