Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
- Thread starter
- #41
Sawa blo, kwahiyo aoe au? Maana anasema yeye tendo sio kipaumbele chake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa blo, kwahiyo aoe au? Maana anasema yeye tendo sio kipaumbele chake
Tatizo yeye anasema mke wake atamhisi anatamaa za kimwiliSiku hizi hata watoto wanaoa na mashoga pia wanaoa huku wanagongwa pia
Ndoa gani inafungwa jumatatu? Aachane na ndoa kamwambie. Wageni wataelewaAnafunga ndoa kesho na wageni wameishaanza kufika
Wote hawajawahi kushiriki tendo, mwanamke bikra, mwanaume pia hajui nyapi ninapokaa na ilivyoIlitakiwa aombe bumunda alipolipa mahari tu kama ni mchumba ambae hawakuwahi kutana kabla.
Kwa dunia ya leo lazima utest mitambo kwanza. Unaweza jifanya mtiifu, baada ya ndoa unakuta kumbe umeoa dume mwenzio anaefanania mwanamke..
hawa wote ni mabikra labda wanauogaNdoa gani inafungwa jumatatu? Aachane na ndoa kamwambie. Wageni wataelewa
Hajui hata mbususu inapokaaKwani hajagusa mpaka anaoa?
Kama mkeo ni bikira hutapata shida lakini kama aliondolewa ubikira hatakuelewa pamoja na nia yako nzuri.Habari, nimekuja kuwauliza kwa niaba ya rafiki yangu ambae kesho anafungana ndoa ila kichwani anawaza sana akae siku ngapi baada ya kufunga ndoa ndipo afanye tendo na mke wake? Nimemwambia afanye tendo usiku wa ndoa yeye akasema anaogopa mke wake akamuwazia vibaya kwamba alimuoa kwa tamaa za kimwili na kwamba ni malaya.
Mpenzi ushauri jamaa
N. B MIKI NI KATAA NDOA
Mwanamke bikra lakiniKama hiyo siku simba hachezi,wazungu ndani
Ni bikra, unatoa ushauri ganiKama mkeo ni bikira hutapata shida lakini kama aliondolewa ubikira hatakuelewa pamoja na nia yako nzuri.
Basi waendeleze kukaa na bikra zao. Wafanye mambo yasiwe mengi.hawa wote ni mabikra labda wanauoga
Alisema atafanya ila anamuonea aibu huyo mke wakeBasi waendeleze kukaa na bikra zao. Wafanye mambo yasiwe mengi.
Wote bikraUnaomba ushauri huko binti kaliwa masikio yote akiwa na miaka toka 12.
Tukushauri nini?
Inabanduliwa tuMwanamke bikra lakini