Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Anachekesha huyu inamaana hataakiolewa mumewe akipata gari akaendesha ndoa inavunjwa maana vigezo vimeondoka kutotaka Dereva na ikitokea akafundishwa mapenzi ndoa hakuna maana mume keshakuwa mwalimu huyo[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
we nawe
 
Joseverest hao wanaotafuta wachumba hata siyo new member. Ni senior/expert member ila wanachofanya ni kutengeneza ID mpya kwa kaz hyo hyo moja kama 'kujihami' wanaogopa kuzodolewa.
 
unapatikana wapi mkoa/wilaya gani?
 
Daaa nna kila sifa ila ww hjasema sifa zako n zip dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…